johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,745
- 139,517
Nadhani hili ndio jukumu la kwanza la Waziri mpya wa Katiba na Sheria Dkt. Mwigulu Nchemba kuhakikisha marehemu wote wanaokufa kwa Corona wanapata haki ya msingi ya kuzikwa kwa heshima.
Binafsi nilikerwa sana kwa namna rafiki na mwanasheria wangu DC Mmanda alivyozikwa " kienyeji" bila kufuata mila wala desturi ya kabila na jamii yake.
Karipio la Rais Magufuli kwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara limenipa faraja kubwa na nipo tayari kuchangia endapo familia yake itaamua Wakili Mmanda akazikwe kwa upya nyumbani kwso Rombo.
Mungu mbariki Rais Magufuli!
Dominica njema.
Binafsi nilikerwa sana kwa namna rafiki na mwanasheria wangu DC Mmanda alivyozikwa " kienyeji" bila kufuata mila wala desturi ya kabila na jamii yake.
Karipio la Rais Magufuli kwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara limenipa faraja kubwa na nipo tayari kuchangia endapo familia yake itaamua Wakili Mmanda akazikwe kwa upya nyumbani kwso Rombo.
Mungu mbariki Rais Magufuli!
Dominica njema.