for how long?? bora uondoke kabisa ukaanze upya....how come mnaishi one house mnapishana kama korido za shule.....hamuwezani achaneni....
ni kweli, but why sasa.....then j2 mnaongozana church........au wageni wakija mnawakaribisha.....na tabasamu....anyway kila mmoja ajipambanieFamilia nyingi kwa sasa zinaishi hivyo...only under one roof..mengine kila mtu kivyake!
Hapo ni kulea tu watoto basi..
Mkuu wewe ni mwanaume wa wapi?Mkuu,
Wanawake wa siku hizi ni wapuuzi sana, ukiona mtu kapiga mke mpaka kamuua ujue kuna jambo kubwa lilimkera,
Kwahiyo picha tu huyo mwanamke kwaharaka haraka anaonekana ni mkorofi,
Kitu kingine wanawake wa sasa wanajitengenezea mazingira ya kupigwa wao wenyewe,
Mfano
Juzi nmejisahau nkaenda kuoga na simu bafuni (ilikuwa kwenye mfuko wa suruali) ile narudi nmekaa nmetulia nashangaa shemeji yako kanikata kibao kikali sana shavuni ile nnajiuliza tatizo nini ikafuata ngumi ya jicho na kifinyo cha mbavu eti kanasema nakasaliti, sijakaa sawa kakavuta galaxy yangu A10s kakaitamiza chini, bahati nzuri ilikuwa na screenprotector ikawa imepasuka kwa juu.
Ilinibidi niokote simu, nikavaa shati nikaenda kuangalia mpira wa Yanga na JKT japokuwa sishabikiagi ili hasira ziishe nisije kuua kimasihara,
Nilivorudi nikakafukuza nikakatupia na vijikanga vyake kalivyokuwa kameviacha hapa ili kaende kasije kakaniponza.
Nyau weweMkuu wewe ni mwanaume wa wapi?
Nyau wewe
Wewe ni KNyau wewe
Ok shukrani mkuuWewe ni K
MhTrue.. tena kamuua kwa nyundo
Ni ile chombo kubwa ya kufungulia mabomba makubwa ambayo iko adjustable hivi kulingana na ukubwa wa connector. Huyu ni ibilisi kabisa. Alienda home kuonyesha. Baada ya kumuua nayo alienda kuificha jikoni kwenye ceiling board. Nyang'au huyu ni kunyongwa mpaka kufa.True.. tena kamuua kwa nyundo
Dada wa kazi asimulia jinsi ilivyo tokea.
NA SHEPUU HIOO UNAULIZA MAJI DAWASCO MKUUPolen kwa kufiwa. Vip hakukuwa na mgogoro hapo wa wivu wa mapenzi? Tuanze hapo
Nimemuhurumia sana huyo dada wa kazi, katoa maelezo vizuri na anastahili pole mno kwa aliyoyashuhudia kuanzia kumuona marehemu kitandani na jeraha lile kubwa alivyoliezea.
Natumaini huyu dada wa kazi atapata watu/ndugu wa kumsaidia kusaikolojia vile ana mika 19 na anaonekana ni binti mwenye huzuni kwa ndani japokuwa hakutoa hata chozi. Hili tukio atalikumbuka maisha yake yote na linaweza kumuathiri hapo baadae au sasa kwenye kufanya maamuzi yake ya maisha.
Usitufananishe walevi na mambo ya kifalaNina nan mwenye hasira hata za mkewe kuchelewa mwandalia chakula kama sio Mlevi.????
Mlevi ndio mgonvi, mlevi haendeshwi na akili yake.
Kwa ufupi nyie walevi nyinyi ndio mnaongoza kufanya matendo ya Ajabu.
Umenikumbusha mbali sana huo msemo wa "KUITAMIZA"Mkuu,
Wanawake wa siku hizi ni wapuuzi sana, ukiona mtu kapiga mke mpaka kamuua ujue kuna jambo kubwa lilimkera,
Kwahiyo picha tu huyo mwanamke kwaharaka haraka anaonekana ni mkorofi,
Kitu kingine wanawake wa sasa wanajitengenezea mazingira ya kupigwa wao wenyewe,
Mfano
Juzi nmejisahau nkaenda kuoga na simu bafuni (ilikuwa kwenye mfuko wa suruali) ile narudi nmekaa nmetulia nashangaa shemeji yako kanikata kibao kikali sana shavuni ile nnajiuliza tatizo nini ikafuata ngumi ya jicho na kifinyo cha mbavu eti kanasema nakasaliti, sijakaa sawa kakavuta galaxy yangu A10s kakaitamiza chini, bahati nzuri ilikuwa na screenprotector ikawa imepasuka kwa juu.
Ilinibidi niokote simu, nikavaa shati nikaenda kuangalia mpira wa Yanga na JKT japokuwa sishabikiagi ili hasira ziishe nisije kuua kimasihara,
Nilivorudi nikakafukuza nikakatupia na vijikanga vyake kalivyokuwa kameviacha hapa ili kaende kasije kakaniponza.