Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Wakuu X Wa Konde Boi Ametoa Tamko Lake Rasmi Kuhusu Kinachoendelea Huku Mtandano.
Embu ishushe hapa mkuunimeona picha ya mama na mwana wameachia mizigo huko nyuma wakiwa uchiiiiiiiiii.....daaahhhh imenipa tetemeko la akili sana hadi sahv sina utulivu
Haifai takula banEmbu ishushe hapa mkuu
Watu tulishaacha puli sasa wao wanapigaje picha ya hivyo!afu anakuja kukataa humu kanikera sana kukataa wakat ni waoAiseee ule mkao mamaeee
Hiki ni kinyesi
Kajala kachemka hapo. Kama kafikia hatua ya kukubali hicho kichwa ni chake basi hio picha yote inamuhusu yeye.
Ukiangalia hio picha hapo chini ya kichwa kuna mikunjo inayoenda hadi shingoni. Mikunjo inaleta shadow fln kwa mbali ambayo inaendana kabisa na mikunjo yote ilio maeneo hayo (kichwani na mwanzoni mwa shingo)
Af anapoongelea mtoto wake kuwa na huo mwili mkubwa amesahau miaka kama miwili ilopita alijorekodi video yy na mtoto wake wanatingisha matackle ya huku wanacheka kabisa. Probably hio pic imechukuliwa mida hio coz paula ana mwili mkubwa toka zamani.
Muhuni tu huyo, ashamuharibu mtoto wake na anaendelea kusema uongo. Ngoja waliozivujisha wamwage nyingi zaidi ndo tuone atasema nn tena. Mara mia angekaa kimya
Hata deepfake haiwezi kutengeneza kitu yenye precision kiasi hiko. Huyu muhuni tu.. fullstop
Wasituchanganyie files apa kikao kimeishia hapa ni yeye.Kwa tulioona, tunasema yule ni yeye. Hatutaki maelezo mengine.
Dahh...Kajala kachemka hapo. Kama kafikia hatua ya kukubali hicho kichwa ni chake basi hio picha yote inamuhusu yeye.
Ukiangalia hio picha hapo chini ya kichwa kuna mikunjo inayoenda hadi shingoni. Mikunjo inaleta shadow fln kwa mbali ambayo inaendana kabisa na mikunjo yote ilio maeneo hayo (kichwani na mwanzoni mwa shingo)
Af anapoongelea mtoto wake kuwa na huo mwili mkubwa amesahau miaka kama miwili ilopita alijorekodi video yy na mtoto wake wanatingisha matackle ya huku wanacheka kabisa. Probably hio pic imechukuliwa mida hio coz paula ana mwili mkubwa toka zamani.
Muhuni tu huyo, ashamuharibu mtoto wake na anaendelea kusema uongo. Ngoja waliozivujisha wamwage nyingi zaidi ndo tuone atasema nn tena. Mara mia angekaa kimya
Hata deepfake haiwezi kutengeneza kitu yenye precision kiasi hiko. Huyu muhuni tu.. fullstop
Kile kichwa wamekipachika? Na vipi ile tatoo ya shingoni? Mimi naona ni wao bhana.Ila hiyo picha kwa angle nyingine ya camera kama sio wao vile , (nilivyoona mie)
Kama ukibahatika kuona picha iliyopigwa kwa angle nyingine utaona sio wao.....Kile kichwa wamekopachika? Na vipi ile tatoo ya shingoni? Mimi naona ni wao bhana.