Wakuu,
Awamu ya 5 ilikuwa na viongozi wengi wa hovyo waliobebwa na Rais Magufuli
Makonda alikuwa akimtumia Kamanda Lazaro Mambosasa kukamilisha missions zake binafsi zisizo halali na ziko kinyume na sheria
Makonda alishirikiana na Mambosasa kutumia vibaya madaraka ya umma
Sasa baada ya Makonda kusurubiwa, Mambosasa naye ajiandae
Awamu ya 5 ilikuwa na viongozi wengi wa hovyo waliobebwa na Rais Magufuli
Makonda alikuwa akimtumia Kamanda Lazaro Mambosasa kukamilisha missions zake binafsi zisizo halali na ziko kinyume na sheria
Makonda alishirikiana na Mambosasa kutumia vibaya madaraka ya umma
Sasa baada ya Makonda kusurubiwa, Mambosasa naye ajiandae