Uchaguzi 2020 Baada ya Nyalandu kuongoza kura za awali kwa 100%, Je ni dalili za Nyalandu kupeperusha bendera ya CHADEMA? Je, Lissu atarudi kweli J3?


Mkuu hizo ni kura za awali, japo matamanio yako ni Lissu kutokurudi. Kwanza ufahamu Lissu harudi kwa ajili ya kugombea urais maana sio mkimbizi wa kisiasa, bali anarudi baada ya matibabu. Isitoshe mkutano wa mwisho bado, na hata cdm wakikosea wakampitisha Nyalandu, basi watakuwa wamejikaanga wenyewe. Sisi wapiga kura wengi wa upinzani hatuna imani na mwanaccm yoyote, bali tuna imani na Lissu.

Kwahiyo hao wajumbe wawe makini na maamuzi yao, maana sisi wapiga kura wa upinzani tunajitambua, na hatukoa tayari kurudia kosa la Lowassa.
 
Mkuu hizo ni kura za awali, japo matamanio yako ni Lissu kutokurudi. Kwanza ufahamu Lissu harudi kwa ajili ya kugombea urais maana sio mkimbizi wa kisiasa, bali anarudi baada ya matibabu. Isitoshe mkutano wa mwisho bado, na hata cdm wakikosea wakampitisha Nyalandu, basi watakuwa wamejikaanga wenyewe. Sisi wapiga kura wengi wa upinzani hatuna imani na mwanaccm yoyote, bali tuna imani na Lissu.

Kwahiyo hao wajumbe wawe makini na maamuzi yao, maana sisi wapiga kura wa upinzani tunajitambua, na hatukoa tayari kurudia kosa la Lowassa.

Mkuu pole mambo ya demokrasia hayo!
 
Mkuu hizo ni kura za awali, japo matamanio yako ni Lissu kutokurudi. Kwanza ufahamu Lissu harudi kwa ajili ya kugombea urais maana sio mkimbizi wa kisiasa, bali anarudi baada ya matibabu. Isitoshe mkutano wa mwisho bado, na hata cdm wakikosea wakampitisha Nyalandu, basi watakuwa wamejikaanga wenyewe. Sisi wapiga kura wengi wa upinzani hatuna imani na mwanaccm yoyote, bali tuna imani na Lissu.

Kwahiyo hao wajumbe wawe makini na maamuzi yao, maana sisi wapiga kura wa upinzani tunajitambua, na hatukoa tayari kurudia kosa la Lowassa.
Ujue na ww unataka tu ujumlishwe kwenye vitu vya hovyo hovyo...hv kwa akili yako unamsikiliza mtu wa lumumba??? Apate taarifa sahihi kutoka wp ?¿ Hao wanapiga ramli tu na ujue wenzio wakiandika upupu Kama huu wana b7 zao....kwnn unajitesa na ngoma za lumumba mkuu??
 
Hivi hawa the so called wajumbe ni nani aliyewaroga?

Kwakweli nimeshangaa sana Tundu Lissu kuzidiwa kura ndani ya CHADEMA? Sio fair kabisa, Huyu Mbowe tuanze kumtazama kwa jicho la tatu.

Utashangaa siku ya kufika Lissu nchini yeye atakuwa zake na viongozi wa CCM kwenye msiba wa Rais Mkapa.
 
Ujue na ww unataka tu ujumlishwe kwenye vitu vya hovyo hovyo...hv kwa akili yako unamsikiliza mtu wa lumumba??? Apate taarifa sahihi kutoka wp ?¿ Hao wanapiga ramli tu na ujue wenzio wakiandika upupu Kama huu wana b7 zao....kwnn unajitesa na ngoma za lumumba mkuu??
Tatizo la kukurupuka, angalia hiyo video Nyalandu akiongea alivyopata kura zote akifatiwa na Lissu. Ushabiki unawaletea ujinga vichwani.
 
Hivi hawa the so called wajumbe ni nani aliyewaroga?

Kwakweli nimeshangaa sana Tundu Lissu kuzidiwa kura ndani ya CHADEMA? Sio fair kabisa, Huyu Mbowe tuanze kumtazama kwa jicho la tatu.

Utashangaa siku ya kufika Lissu nchini yeye atakuwa zake na viongozi wa CCM kwenye msiba wa Rais Mkapa.
Hv unadhani Lissu na yy angekuwepo kwenye hicho kikao nyarandu angeongoza kura za maoni??? Mtu amepewa tu moyo lkn subiria mkutano mkuu uone anavyokarishwa
 
Ni ajabu sana kamati kuu ya CHADEMA inaamini kuwa Nyalandu ni bora kuliko Lissu

Sasa kama kamati kuu yenyewe haiamini kuwa Lissu hastahili kuwa namba moja kwenye urais, kwa nini sisi wananchi tuamini kuwa yeye anafaa kuwa Rais?

Hizi kura za kamati kuu zimetuma meseji kwa wananchi na kwa Wanachadema wote kuwa Uongozi wa Chadema hauamini kuwa Lissu hafai kuwa rais licha ya kuwa ameonekana kuwa ni mwenye kutajwa tajwa zaidi na wananchi.
 
Ujue na ww unataka tu ujumlishwe kwenye vitu vya hovyo hovyo...hv kwa akili yako unamsikiliza mtu wa lumumba??? Apate taarifa sahihi kutoka wp ?¿ Hao wanapiga ramli tu na ujue wenzio wakiandika upupu Kama huu wana b7 zao....kwnn unajitesa na ngoma za lumumba mkuu??
Nimemshangaa sana Tindo. Anaingizwa choo cha kike na hawa wahuni tu
 
Ni ajabu sana Chama kamati kuu ya CHADEMA inaamini kuwa Nyalandu ni bora kuliko Lissu

Sasa kama kamati kuu yenyewe haiamini kuwa Lissu hastahili kuwa namba moja kwenye urais, kwa nini sisi wananchi tuamini kuwa yeye anafaa kuwa Rais?

Hizi kura za kamati kuu zimetuma meseji kwa wananchi na kwa Wanachadema wote kuwa Uongozi wa Chadema hauamini kuwa Lissu hafai kuwa rais.
Mtaweweseka sana lkn Lissu ndo mgombea
 
Hv unadhani Lissu na yy angekuwepo kwenye hicho kikao nyarandu angeongoza kura za maoni??? Mtu amepewa tu moyo lkn subiria mkutano mkuu uone anavyokarishwa
Huelewi kitu unaongelea ushabiki, Lissu asipopitishwa kugombea uraisi na CDM utafanyaje?, Watu wapo kimaslahi zaidi nyie mnaleta ushabiki wa Simba na Yanga.
 
ujio wa Lissu naona watu wame panick kinyama yaani.

juice ya pilipili kichaa yaja, kaeni tu mkao wa kukimbilia Comoro (sijui kwa mtumbwi au kupiga mbizi mtajaza wenyewe).

habari ni.... Lissu anatinga timu Jumatatu ijayo na ndiye mgombea urais wa coalition ya upinzani kupitia chama chake cha Chadema.

habari ndiyo hiyo!
 
Back
Top Bottom