Sic March
JF-Expert Member
- Mar 2, 2019
- 690
- 895
Mkuu asubuhi ndiyo hii fanya fanya basi
Hahaha..!
Wadau mtamtoa roho ndugu mwandishi walaqhi'.!
Hiyo hapo wakuu
Simulia yote mkuu usifupisheMaswali tutavumiliana maana najua yatanirudisha kule kule kwenye maelezo wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sahii watu washajipatia zao kamsemo ka 'nimecheka kama yule mtu wa nyuma ya mwembe'.!
Nice work jooohs
Ni vile tu penzi limenijaa juu yako hivyo napata uwezo wa kubwabwaja ili nikupate wa ubani!!Jamani, Jamani.!!
Kenzy wewe ni muandishi wa mashairi??
Dhumuni langu lilikuwa ni mambo ya biashara ndio maana nikaleta huku lakini story imemeza dhumuni sio mbaya
Hahaha..!
Wadau mtamtoa roho ndugu mwandishi walaqhi'.!