zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
CDA wajiandaa kubomoa maeneo mawili,La kwanza MLIMWA C na MWATANO,
Mpaka sasa wananchi wa mitaa hyo wako fire vby na CDA,KWA taarifa ya kamati ya watu 5 iliyoundwa ili kuonana Na RC wamesema RC ameapa kuwaonyesha KAZI CDA,
Ila mkuu wa mkoa ameahd kufanya mkutano na wananchi hao baada ya Bunge kuisha.
Nawakilisha.
Mpaka sasa wananchi wa mitaa hyo wako fire vby na CDA,KWA taarifa ya kamati ya watu 5 iliyoundwa ili kuonana Na RC wamesema RC ameapa kuwaonyesha KAZI CDA,
Ila mkuu wa mkoa ameahd kufanya mkutano na wananchi hao baada ya Bunge kuisha.
Nawakilisha.