Baada ya NIMRI kushindwa kugundua dawa ya UKIMWI sasa wameanza kuja na tafiti mbofu mbofu!

Nichumu Nibebike

JF-Expert Member
Aug 28, 2016
8,660
15,744
Niliwahi kusikia huko nyuma kuwa eti NIMRI 'walikuwa wako karibuni kugundua' dawa ya UKIMWI mara baada ya mda kidogo mambo yakawa magumu, wakaingia mitini... Wakajichimbia weeee, baadaye tena wakaja na lingine, eti wamegundua chanjo ya Malaria na watu wakajitokeza kwa ajili ya majaribio ya chanjo... Huko nako wakabuma!
Wamekaa tena kufikiria nitoke vipi, sasa wamekuja na hili la ugonjwa wa ZIKA! Kabla hawajabuma tena wamekwaa kisiki cha mfalme na wametumbuliwa.
Poleni sana NIMRI, mlizoea kuishi kiujanja ujanja na kutafuna kodi za wananchi, huku mkituhadaa kuwa mnafanya mambo makubwa kumbe mmelundikana ofisini tu kama wapiga ramli!
Poleni sana...
 
Niliwahi kusikia huko nyuma kuwa eti NIMRI 'walikuwa wako karibuni kugundua' dawa ya UKIMWI mara baada ya mda kidogo mambo yakawa magumu, wakaingia mitini... Wakajichimbia weeee, baadaye tena wakaja na lingine, eti wamegundua chanjo ya Malaria na watu wakajitokeza kwa ajili ya majaribio ya chanjo... Huko nako wakabuma!
Wamekaa tena kufikiria nitoke vipi, sasa wamekuja na hili la ugonjwa wa ZIKA! Kabla hawajabuma tena wamekwaa kisiki cha mfalme na wametumbuliwa.
Poleni sana NIMRI, mlizoea kuishi kiujanja ujanja na kutafuna kodi za wananchi, huku mkituhadaa kuwa mnafanya mambo makubwa kumbe mmelundikana ofisini tu kama wapiga ramli!
Poleni sana...
Tunaomba CV yako ndio tupeane taarifa, siyo kutukanana hapana kuelimishana juu ya dawa
 
Niliwahi kusikia huko nyuma kuwa eti NIMRI 'walikuwa wako karibuni kugundua' dawa ya UKIMWI mara baada ya mda kidogo mambo yakawa magumu, wakaingia mitini... Wakajichimbia weeee, baadaye tena wakaja na lingine, eti wamegundua chanjo ya Malaria na watu wakajitokeza kwa ajili ya majaribio ya chanjo... Huko nako wakabuma!
Wamekaa tena kufikiria nitoke vipi, sasa wamekuja na hili la ugonjwa wa ZIKA! Kabla hawajabuma tena wamekwaa kisiki cha mfalme na wametumbuliwa.
Poleni sana NIMRI, mlizoea kuishi kiujanja ujanja na kutafuna kodi za wananchi, huku mkituhadaa kuwa mnafanya mambo makubwa kumbe mmelundikana ofisini tu kama wapiga ramli!
Poleni sana...

Inawezekana kabisa tatizo la COVID 19 likawa la muda mrefu kwa sababu ya yale yatokanayo na MUTATIONS.
UMUHIMU wa kutoshabikia CHANJO zile tunazotilia mashaka na badala yake KUKUMBUSHANA uwezo wa dawa zetu za asili sio makosa hata kidogo. Naamini siasa na upuuzi mwingi wa sanaa za kibwege za wahamasishaji zikiwekwa pembenini tunaweza songa mbere.
Namaanisha kwamba hizo dawa zifanyiwe UTAFITI wa kisayansi pia!
NIMRI watuambie tafiti zao kimaabara na clinical trials zinaonesha EFFICACY gani? NINI madhara ya tiba hizo?
TAASISI zingine zinazofanya utafiti ziache sanaa za kuambia watu, kunyweni hii, kajifukizeni na hii .... bila KUAINISHA DATA husika, efficacy, side effects!
 
Niliwahi kusikia huko nyuma kuwa eti NIMRI 'walikuwa wako karibuni kugundua' dawa ya UKIMWI mara baada ya mda kidogo mambo yakawa magumu, wakaingia mitini... Wakajichimbia weeee, baadaye tena wakaja na lingine, eti wamegundua chanjo ya Malaria na watu wakajitokeza kwa ajili ya majaribio ya chanjo... Huko nako wakabuma!
Wamekaa tena kufikiria nitoke vipi, sasa wamekuja na hili la ugonjwa wa ZIKA! Kabla hawajabuma tena wamekwaa kisiki cha mfalme na wametumbuliwa.
Poleni sana NIMRI, mlizoea kuishi kiujanja ujanja na kutafuna kodi za wananchi, huku mkituhadaa kuwa mnafanya mambo makubwa kumbe mmelundikana ofisini tu kama wapiga ramli!
Poleni sana...

Inawezekana kabisa tatizo la COVID 19 likawa la muda mrefu kwa sababu ya yale yatokanayo na MUTATIONS.
UMUHIMU wa kutoshabikia CHANJO zile tunazotilia mashaka na badala yake KUKUMBUSHANA uwezo wa dawa zetu za asili sio makosa hata kidogo. Naamini siasa na upuuzi mwingi wa sanaa za kibwege za wahamasishaji zikiwekwa pembenini tunaweza songa mbere.
Namaanisha kwamba hizo dawa zifanyiwe UTAFITI wa kisayansi pia!
NIMRI watuambie tafiti zao kimaabara na clinical trials zinaonesha EFFICACY gani? NINI madhara ya tiba hizo?
TAASISI zingine zinazofanya utafiti ziache sanaa za kuambia watu, kunyweni hii, kajifukizeni na hii .... bila KUAINISHA DATA husika, efficacy, side effects!
 
Let them put to public their investigator's brochure on covidol................ ile togwa yao
Namaanisha kwamba hizo dawa zifanyiwe UTAFITI wa kisayansi pia!
NIMRI watuambie tafiti zao kimaabara na clinical trials zinaonesha EFFICACY gani? NINI madhara ya tiba hizo?
 
Inawezekana kabisa tatizo la COVID 19 likawa la muda mrefu kwa sababu ya yale yatokanayo na MUTATIONS.
UMUHIMU wa kutoshabikia CHANJO zile tunazotilia mashaka na badala yake KUKUMBUSHANA uwezo wa dawa zetu za asili sio makosa hata kidogo. Naamini siasa na upuuzi mwingi wa sanaa za kibwege za wahamasishaji zikiwekwa pembenini tunaweza songa mbere.
Namaanisha kwamba hizo dawa zifanyiwe UTAFITI wa kisayansi pia!
NIMRI watuambie tafiti zao kimaabara na clinical trials zinaonesha EFFICACY gani? NINI madhara ya tiba hizo?
TAASISI zingine zinazofanya utafiti ziache sanaa za kuambia watu, kunyweni hii, kajifukizeni na hii .... bila KUAINISHA DATA husika, efficacy, side effects!
Investigators brochure is needed from NIMR on Covidol i.e ile togwa yao. Tunataka something of that nature at least kitu kiachokaribia na siyo lazima kiwe sawa na hicho...

1612595160080.png
 
Vituko vya NIMRI na Jiwe eti kujifukiza ni anti viral medication
Mwambieni Dr Gwajima atupe essence na pharmacology na active ingredients za miziziology yao kama ataweza
Hawa akili zao haziko sawa, lakini Inshallah mmoja wao akiondoka watatia akili
 
Hawa akili zao haziko sawa, lakini Inshallah mmoja wao akiondoka watatia akili
Ifike mahali vyuo vilivyowatunuku hizo taaluma za ubobevu ziwanyang'anye vyeti vyao. Huwezi mtaalamu ukaanza kushadidia dawa ambayo hujaiweka tafiti yake jukwaani wataalamu wenzio wakaidadisi. Imefanyiwa utafiti na nani, wapi, nani wamesimamia huo utafiti, nani wameuthibitisha huo utafiti, majaribio yamefanyiwa wapi na ni akina nani na wangapi walijaribiwa; matokeo ya utafiti yametolewa wapi, yamehakikiwa na nani, athari za dawa zilizoonekana ni zipi. Twende kitaaalamu hata kama dawa yenyewe ni ya kienteji. Ni ajabu mnatilia shaka chanjo ya wenzenu kuwa haijathibitika wakati na nyie mnashadidia dawa ambazo hazijathibitika kitaaalamu. Kwanini tumesoma basi, tena kwa mfumo huo wa kimagharibi? Kama hatuutaki mfumo huo basi tuupinge hadharani na kuzikana digrii zao ili turudi kwenye mfumo wetu wa mwituni wa mtu anaibuka tu na kudai anadawa ya kutibu ugonjwa fulani. Mimi sipingi kutumia dawa zetu za asili ila kwa sababu tuna elimu ya wazungu ambayo inatufundisha kuweka hadharani tulichokifanyia utafiti, basi tufanye hivyo ili wenzetu nao watupime na kutuhoji. Wanasema WHO dawa za kienyeji ambazo hazijafanyiwa utafiti zina madhara ya pembeni mabaya sana, je sisi tutajuaje kama hizo dawa hazina madhara ya muda mfupi na mrefu. Wataalamu twende pamoja, vinginevyo iko siku kuna mtu mkubwa atainuka na kuwaambia wahandisi wa ujenzi zege lisiwekwe kokoto kwa sababu ni aghali na ni kuharibu mazingira.
 
Inawezekana kabisa tatizo la COVID 19 likawa la muda mrefu kwa sababu ya yale yatokanayo na MUTATIONS.
UMUHIMU wa kutoshabikia CHANJO zile tunazotilia mashaka na badala yake KUKUMBUSHANA uwezo wa dawa zetu za asili sio makosa hata kidogo. Naamini siasa na upuuzi mwingi wa sanaa za kibwege za wahamasishaji zikiwekwa pembenini tunaweza songa mbere.
Namaanisha kwamba hizo dawa zifanyiwe UTAFITI wa kisayansi pia!
NIMRI watuambie tafiti zao kimaabara na clinical trials zinaonesha EFFICACY gani? NINI madhara ya tiba hizo?
TAASISI zingine zinazofanya utafiti ziache sanaa za kuambia watu, kunyweni hii, kajifukizeni na hii .... bila KUAINISHA DATA husika, efficacy, side effects!
We jamaa umeandika vizuri sana. Natamani hao NIMR na watu wengine wote wangekusoma na kukuelewa.
 
NIMR inawezekana wana nia njema lakini lazima wajitofautishe na waganga wa kienyeji wengine kama wale wa dawa za tunguri.
 
Back
Top Bottom