Nakumbuka enzi za utoto wetu ilikuwa lazima upigane ili kuonyesha na wewe umekuwa na hutaki mtu akuonee. Ishara ya kujua kuwa umeshinda ni lazima umtoe damu ya pua adui yako. Katika ugomnvi ule mtu akipokee kipigo cha kutokwa damu ya pua kitu kilichokuwa kinalinda heshima ya aliyepigwa ni kukimbilia kwenye kifusi cha mawe na kuanza kuyarusha ovyo. Wakati huo damu zinatoka hakuna wa kukutuliza unarusha mawe mpka wakubwa waje kukutuliza ndipo unakubali. Pamoja na hayo bado unabaki kuwa ndiye uliyeshindwa na aliyekutoa damu atakuwa mtemi kwako siku zote.
Ccm hii leo imekuwa kama huyu mtoto aiiyepigwa ngumi za uso inakimbilia udini badala ya kukubali kuwa imezidiwa kisiasa na cdm ndiyo mtemi wake. Hakika walipigwa makonde makali kwenye ule uchaguzo ambao hawatakaa wasahau mpaka wanaachia uongozi wa nchii hii.
Jaamaa wakiguswa tu sasa hivi ni udini maana wanajua wakikaa humo hamna mtu mwenye akili wa kuwafuata maana ni kama kifusi cha mawe kwa mtoto aliyetolewa damu ya pua kwenye ugomvi. Tunasibiri mkubwa aje kuwatoa ccm kwenye kifusi cha mawe maana wanarusha ovyo hatakwa wapita njia wasiokuwa na hatia kisa tu ni hasira ya kutolewa damu ya pua na wababe wao. Mwenye nguvu mpishe suboria mnyonge wako hawa ni watemi kwako hutawaweza. Huu ni ushauri wa bure kwa ccm.
Ccm hii leo imekuwa kama huyu mtoto aiiyepigwa ngumi za uso inakimbilia udini badala ya kukubali kuwa imezidiwa kisiasa na cdm ndiyo mtemi wake. Hakika walipigwa makonde makali kwenye ule uchaguzo ambao hawatakaa wasahau mpaka wanaachia uongozi wa nchii hii.
Jaamaa wakiguswa tu sasa hivi ni udini maana wanajua wakikaa humo hamna mtu mwenye akili wa kuwafuata maana ni kama kifusi cha mawe kwa mtoto aliyetolewa damu ya pua kwenye ugomvi. Tunasibiri mkubwa aje kuwatoa ccm kwenye kifusi cha mawe maana wanarusha ovyo hatakwa wapita njia wasiokuwa na hatia kisa tu ni hasira ya kutolewa damu ya pua na wababe wao. Mwenye nguvu mpishe suboria mnyonge wako hawa ni watemi kwako hutawaweza. Huu ni ushauri wa bure kwa ccm.