baada ya ngumi za pua ccm yakimbilia mawe

Ngonini

JF-Expert Member
Sep 1, 2010
2,023
563
Nakumbuka enzi za utoto wetu ilikuwa lazima upigane ili kuonyesha na wewe umekuwa na hutaki mtu akuonee. Ishara ya kujua kuwa umeshinda ni lazima umtoe damu ya pua adui yako. Katika ugomnvi ule mtu akipokee kipigo cha kutokwa damu ya pua kitu kilichokuwa kinalinda heshima ya aliyepigwa ni kukimbilia kwenye kifusi cha mawe na kuanza kuyarusha ovyo. Wakati huo damu zinatoka hakuna wa kukutuliza unarusha mawe mpka wakubwa waje kukutuliza ndipo unakubali. Pamoja na hayo bado unabaki kuwa ndiye uliyeshindwa na aliyekutoa damu atakuwa mtemi kwako siku zote.
Ccm hii leo imekuwa kama huyu mtoto aiiyepigwa ngumi za uso inakimbilia udini badala ya kukubali kuwa imezidiwa kisiasa na cdm ndiyo mtemi wake. Hakika walipigwa makonde makali kwenye ule uchaguzo ambao hawatakaa wasahau mpaka wanaachia uongozi wa nchii hii.
Jaamaa wakiguswa tu sasa hivi ni udini maana wanajua wakikaa humo hamna mtu mwenye akili wa kuwafuata maana ni kama kifusi cha mawe kwa mtoto aliyetolewa damu ya pua kwenye ugomvi. Tunasibiri mkubwa aje kuwatoa ccm kwenye kifusi cha mawe maana wanarusha ovyo hatakwa wapita njia wasiokuwa na hatia kisa tu ni hasira ya kutolewa damu ya pua na wababe wao. Mwenye nguvu mpishe suboria mnyonge wako hawa ni watemi kwako hutawaweza. Huu ni ushauri wa bure kwa ccm.
 
Nakumbuka enzi za utoto wetu ilikuwa lazima upigane ili kuonyesha na wewe umekuwa na hutaki mtu akuonee. Ishara ya kujua kuwa umeshinda ni lazima umtoe damu ya pua adui yako. Katika ugomnvi ule mtu akipokee kipigo cha kutokwa damu ya pua kitu kilichokuwa kinalinda heshima ya aliyepigwa ni kukimbilia kwenye kifusi cha mawe na kuanza kuyarusha ovyo. Wakati huo damu zinatoka hakuna wa kukutuliza unarusha mawe mpka wakubwa waje kukutuliza ndipo unakubali. Pamoja na hayo bado unabaki kuwa ndiye uliyeshindwa na aliyekutoa damu atakuwa mtemi kwako siku zote.
Ccm hii leo imekuwa kama huyu mtoto aiiyepigwa ngumi za uso inakimbilia udini badala ya kukubali kuwa imezidiwa kisiasa na cdm ndiyo mtemi wake. Hakika walipigwa makonde makali kwenye ule uchaguzo ambao hawatakaa wasahau mpaka wanaachia uongozi wa nchii hii.
Jaamaa wakiguswa tu sasa hivi ni udini maana wanajua wakikaa humo hamna mtu mwenye akili wa kuwafuata maana ni kama kifusi cha mawe kwa mtoto aliyetolewa damu ya pua kwenye ugomvi. Tunasibiri mkubwa aje kuwatoa ccm kwenye kifusi cha mawe maana wanarusha ovyo hatakwa wapita njia wasiokuwa na hatia kisa tu ni hasira ya kutolewa damu ya pua na wababe wao. Mwenye nguvu mpishe suboria mnyonge wako hawa ni watemi kwako hutawaweza. Huu ni ushauri wa bure kwa ccm.

Chadema ni mkusanyiko wa watu waliokosa vyeo na nafasi za ulaji ndani ya ccm. Hakuna lolote! sasa hivi wanainyemelea power sharing kilema kipya cha Afrika,wasahau!!! CCM ni chama kinachotumia busara la sivyo kuna baadhi ya viongozi wa cdm walipaswa wawe selo na nchi ikaendelea kutulia kama maji ya kwenye mtungi. Ushauri umetolewa na jeshi la polisi, cdm isubiri 2015 kama wanataka kuchukua dola, la sivyo muiache chama tawala kiendelee kujenga nchi.

GZ
 
Chadema ni mkusanyiko wa watu waliokosa vyeo na nafasi za ulaji ndani ya ccm. Hakuna lolote! sasa hivi wanainyemelea power sharing kilema kipya cha Afrika,wasahau!!! CCM ni chama kinachotumia busara la sivyo kuna baadhi ya viongozi wa cdm walipaswa wawe selo na nchi ikaendelea kutulia kama maji ya kwenye mtungi. Ushauri umetolewa na jeshi la polisi, cdm isubiri 2015 kama wanataka kuchukua dola, la sivyo muiache chama tawala kiendelee kujenga nchi.

GZ

Hapa sio Zenji. baada ya Katiba mpya mambo yote kwisha kwa CCM. Usijifariji hivyo. Hakutakuwa na CCM milele ijayo.
 
Chadema ni mkusanyiko wa watu waliokosa vyeo na nafasi za ulaji ndani ya ccm. Hakuna lolote! sasa hivi wanainyemelea power sharing kilema kipya cha Afrika,wasahau!!! CCM ni chama kinachotumia busara la sivyo kuna baadhi ya viongozi wa cdm walipaswa wawe selo na nchi ikaendelea kutulia kama maji ya kwenye mtungi. Ushauri umetolewa na jeshi la polisi, cdm isubiri 2015 kama wanataka kuchukua dola, la sivyo muiache chama tawala kiendelee kujenga nchi.

GZ
Cdm will never share anything with chama cha mafisadi hii ni clear na ni sera ya chama. Forget it sir!
 
Hawa jamaa hawana jipya cha muhimu kwa sasa ni kukubali kushindwa!!
 
mi sijui Ccm hawsomi alama za nyakati kiama chao ndo kimefika hatuwapendi na mwisho wao ni 2012 uchaguzi wao ndo utawamaliza ka ulikuwepo arusha tar 5 na tar 12 utajua kuwa wananchi wameichoka ccm fanya research africa vyama vilivyoleta uhuru n vingapi bado viko madarakani? So time and generation change ndio anguko lao haijalishi ni cdm au nani ndo atatakover pple want badilko la kweli na wanaamini cdm ndo chachu ya mabadilko kwa sasa so tusiwe na idea mgando ka hao vizee vya ccm
 
mi sijui Ccm hawsomi alama za nyakati kiama chao ndo kimefika hatuwapendi na mwisho wao ni 2012 uchaguzi wao ndo utawamaliza ka ulikuwepo arusha tar 5 na tar 12 utajua kuwa wananchi wameichoka ccm fanya research africa vyama vilivyoleta uhuru n vingapi bado viko madarakani? So time and generation change ndio anguko lao haijalishi ni cdm au nani ndo atatakover pple want badilko la kweli na wanaamini cdm ndo chachu ya mabadilko kwa sasa so tusiwe na idea mgando ka hao vizee vya ccm

Alipoingia Kibaki madarakani mwaka 2002 wakenya walidhani Malaika ameshuka kutoka mbinguni. Miaka mitano baadaya 2007 yuleyule malaika alisababisha vifo vy zaid ya watu 1000. Ninyi mnaoshabikia cdm na Dr. Slaa mjifunze kwa majirani zenu. Better the devil you know than the angel you do not know

Gz
 
Alipoingia Kibaki madarakani mwaka 2002 wakenya walidhani Malaika ameshuka kutoka mbinguni. Miaka mitano baadaya 2007 yuleyule malaika alisababisha vifo vy zaid ya watu 1000. Ninyi mnaoshabikia cdm na Dr. Slaa mjifunze kwa majirani zenu. Better the devil you know than the angel you do not know

Gz
Kama wote ni mashetani kwanini tuendelee na shetani huyohuyo tuuuuu? hivi mnafikiri CCM ni exceptional party in Africa.
 
Chadema ni mkusanyiko wa watu waliokosa vyeo na nafasi za ulaji ndani ya ccm. Hakuna lolote! sasa hivi wanainyemelea power sharing kilema kipya cha Afrika,wasahau!!! CCM ni chama kinachotumia busara la sivyo kuna baadhi ya viongozi wa cdm walipaswa wawe selo na nchi ikaendelea kutulia kama maji ya kwenye mtungi. Ushauri umetolewa na jeshi la polisi, cdm isubiri 2015 kama wanataka kuchukua dola, la sivyo muiache chama tawala kiendelee kujenga nchi.

GZ
Kweli wewe unaota, unajua maana ya kujenga nchi wewe? au ulikuwa unamaanisha kubomoa nchi?

 
Chadema ni mkusanyiko wa watu waliokosa vyeo na nafasi za ulaji ndani ya ccm. Hakuna lolote! sasa hivi wanainyemelea power sharing kilema kipya cha Afrika,wasahau!!! CCM ni chama kinachotumia busara la sivyo kuna baadhi ya viongozi wa cdm walipaswa wawe selo na nchi ikaendelea kutulia kama maji ya kwenye mtungi. Ushauri umetolewa na jeshi la polisi, cdm isubiri 2015 kama wanataka kuchukua dola, la sivyo muiache chama tawala kiendelee kujenga nchi.

GZ
use ur brain
 
Hovyo! Nahc utakuwa kama co RMKWERE basi ni JMAKAMBA. Uc2letee mawazo yako ya kilabuni. Shame on you!
Chadema ni mkusanyiko wa watu waliokosa vyeo na nafasi za ulaji ndani ya ccm. Hakuna lolote! sasa hivi wanainyemelea power sharing kilema kipya cha Afrika,wasahau!!! CCM ni chama kinachotumia busara la sivyo kuna baadhi ya viongozi wa cdm walipaswa wawe selo na nchi ikaendelea kutulia kama maji ya kwenye mtungi. Ushauri umetolewa na jeshi la polisi, cdm isubiri 2015 kama wanataka kuchukua dola, la sivyo muiache chama tawala kiendelee kujenga nchi.

GZ
 
Na wewe ndo wale wale. Wewe ni mpigadebe tu wa vyama vya siasa. Tanzania kwanza mengine yanufuata.
 
Anza kujifunza wewe na ukoo wako wote. Hta 2lipomwngiza shemejiyo mkwere madarakan 2lmwona ni zaid ya Malaika. Kumbe hta shetwan ana afadhal.
Alipoingia Kibaki madarakani mwaka 2002 wakenya walidhani Malaika ameshuka kutoka mbinguni. Miaka mitano baadaya 2007 yuleyule malaika alisababisha vifo vy zaid ya watu 1000. Ninyi mnaoshabikia cdm na Dr. Slaa mjifunze kwa majirani zenu. Better the devil you know than the angel you do not know

Gz
 
Alipoingia Kibaki madarakani mwaka 2002 wakenya walidhani Malaika ameshuka kutoka mbinguni. Miaka mitano baadaya 2007 yuleyule malaika alisababisha vifo vy zaid ya watu 1000. Ninyi mnaoshabikia cdm na Dr. Slaa mjifunze kwa majirani zenu. Better the devil you know than the angel you do not know

Gz

Shetani ni shetani tu hata akijipamba kama malaika, na hawezi kulinganishwa na malaika.

Btw; Kibaki can not be compared to Dr. Slaa!! Kenyans politics are far diffrent from ours.

what we see, its ccm politics looks alike kenyans politics; kenyans politics -tribalism while ccm politics - religious.
 
Chadema ni mkusanyiko wa watu waliokosa vyeo na nafasi za ulaji ndani ya ccm. Hakuna lolote! sasa hivi wanainyemelea power sharing kilema kipya cha Afrika,wasahau!!! CCM ni chama kinachotumia busara la sivyo kuna baadhi ya viongozi wa cdm walipaswa wawe selo na nchi ikaendelea kutulia kama maji ya kwenye mtungi. Ushauri umetolewa na jeshi la polisi, cdm isubiri 2015 kama wanataka kuchukua dola, la sivyo muiache chama tawala kiendelee kujenga nchi.

GZ

Pumba
 
Alipoingia Kibaki madarakani mwaka 2002 wakenya walidhani Malaika ameshuka kutoka mbinguni. Miaka mitano baadaya 2007 yuleyule malaika alisababisha vifo vy zaid ya watu 1000. Ninyi mnaoshabikia cdm na Dr. Slaa mjifunze kwa majirani zenu. Better the devil you know than the angel you do not know

Gz


I do not want any devil nor an angel I am just crying and struggling for my beloved counry by all means Freedom is coming
 
Alipoingia Kibaki madarakani mwaka 2002 wakenya walidhani Malaika ameshuka kutoka mbinguni. Miaka mitano baadaya 2007 yuleyule malaika alisababisha vifo vy zaid ya watu 1000. Ninyi mnaoshabikia cdm na Dr. Slaa mjifunze kwa majirani zenu. Better the devil you know than the angel you do not know

Gz
Kilichotokea kenya si lazima kitokee tz nani alikwambia tunataka kuiga kenya? Kenya ni kenya na tzt ni tz hatunahaja ya kuwaiga watu! Wewe kazi yako kuiga kama cmcm ni wataalami wa kukopy sera za nchi nyingine halafu hawawezi kizitekeleza. Hebu niambie ni sera gani mbovu katika serikali yetu? Lakini ni ipi imeweza kutekelezwa kwa votendo? Acha mawazo ya kudesa ndugu yangu tanznia ina watu wazuri lakini wamebanwa na mafisadi wasifanye chochote. Unataka kumlinganisha kibaki na Dr. Slaa? Wakenya ni majambazi tu hayana utu wowote huwezi kuwalinganisha na busara za watanzania. Tunamwamini dr slaa maana we feel what he talks to us. Je ulishawahi kuguswa na hotuba yoyote ya mkwere toka aingie urais? Kama ni ndiyo basi wewe ni zero kama jina lako
 
Alipoingia Kibaki madarakani mwaka 2002 wakenya walidhani Malaika ameshuka kutoka mbinguni. Miaka mitano baadaya 2007 yuleyule malaika alisababisha vifo vy zaid ya watu 1000. Ninyi mnaoshabikia cdm na Dr. Slaa mjifunze kwa majirani zenu. Better the devil you know than the angel you do not know

Gz


Hiyo ndiyo njia muafaka ya kudai haki. kumwaga damu is a must.
 
Huo ni uwoga tu. Watu wetu wanapaswa kujua kuwa kama vile ambavyo maisha huwa hayagandi, mabadiriko pia huwa hayazuiliki.
 
Back
Top Bottom