Baada ya ng'ombe toka Kenya sasa Wakenya wanaleta ng'amia

fuata sheria za nchi unayoenda pumbavu wewe usimamizii wa sheria zilizopo Tanzania ndo zinazuia cattle rustling mpaka wa Tanzania na kenya la sivyo kungekuwa hakukaliki kama lawless Karamajong and west Pokot! hatuwezi kuwaruhusu muingize mifugo yenu tanzania as if Tanzania is a no man land! that will never happen! BTW nauliza, mbona hizi ngamia hazikuenda shamba la Uhuru Taita Taveta (over 30,000 hectares)? ina maana wavunifu wa sheria wanajua sheria ila ujeuri sio? ni mwendo wa fine au tunapiga mnada hiyo mifugo kama sheria zinavyosema!
The CEO geza ulale take"wa fine au tunapiga mnada hiyo mifugo kama sheria zinavyosema" duh!Kiti-mtu soup is real.
 
Meanwhile revved up , raring to go waakilishi wa EA. Spot the golds (hint 5 minimum)
1625860478887.png
 
Maullana CEO geza ulale ime like

Kulinda mipaka ya nchi ni kitu cha maana sana. Kama unaacha nchi yako, watu wanapita au kuingia na kutoka wanavyotaka ni tatizo kubwa sana. Walivyofanya kwa habari ya ngamia, nawapa big up.
 
Back
Top Bottom