Baada ya ng'ombe 692 waliokamatwa kufa, Serikali yaamua kuwarudisha waliobaki kwa wamiliki

Niukatili wa hali ya juu kwa wanyama. Toka mwaka jana, vyombo vyetu vya habari navyo vilikuwa wapi?
 
nadhani kuwe na utaratibu mzuri wa kudhibiti ng'ombe mipakani kabla hawajaingia nchini,pia kitu alichoongea rais juzi kuhusu kutaifisha ranch waliopewa wawekezaji ambao na wao wanawakodishia wakulima nakubaliana nacho,wafugaji wetu hamna haja ya kuvusha ng'ombe nchi jirani wakati tuna ranch hazitumiki ipasavyo
Hao ng'ombe walioshikiliwa hawakutoka nchi za nje, ni ng'ombe wa Watanzania wenzetu. Kosa ni kuingizwa katika pori la akiba la Rukwa/Lwamfi!

Nadhani itungwe sheria ambayo itailazimisha serikali kuhakikisha kuwa mifugo wote wanaokamatwa na vyombo vya serikali inatendewa haki ikiwa ni pamoja na kupata malisho na tiba!!!
 
Kuna siku Mungu atatupiga kwa janga la ukosefu wa mifugo na chakula ,,,yaani uho ni uzembe na roho mbaya iliyopitiliza ,,mmewapora watu mifugo yao,,,halafu mmeenda kuwafungia kwenye zizi lisilo na chakula wala maji *****,,,,,ng'ombe 692 ni zaidi ya tsh. Ngapi sijui imepotea hapo,,,,,zaidi ya tsh. MILIONI MIA MBILI HAPO imepotea
350m jamaa
 
Tundu Lissu tunakukumbuka sana sana. Hizi zilikuwa kesi zako kwa kutetea wanyonge.

Tundu Lissu Ungekuwepo hapo Leo ungejitoa muhanga kuwatete hawa wafugaji masikini wa Tanzania walio onewa wangelipwa mamiliioni kama Fidia.

We Miss U Tundu Lissu!!
 
nadhani kuwe na utaratibu mzuri wa kudhibiti ng'ombe mipakani kabla hawajaingia nchini,pia kitu alichoongea rais juzi kuhusu kutaifisha ranch waliopewa wawekezaji ambao na wao wanawakodishia wakulima nakubaliana nacho,wafugaji wetu hamna haja ya kuvusha ng'ombe nchi jirani wakati tuna ranch hazitumiki ipasavyo
Kumbuka,unapobadilisha matumizi ya kitu kama Ranchi umerudisha maendeleo nyuma kwa idadi ya miaka ambayo ranchi imekuwepo. Kwa nini tusiwekeze kwenye hizi ranchi kama wenzetu Wakenya na Wabotswana tukazalisha nyama bora? Huu ugawaji kiholela wa maeneo muhimu yaliyokuwa yanamilikiwa na serikali uangaliwe upya! Hii ni mali ya kila Mtanzania na siyo mali ya Makabila fulani ya wafugaji.
 
Hapo me nimekadiria kwa kadilio la chini tu ,,,najua inafika mpaka kiasi Iko ulichosema Mkuu, ,,,,,,kuna mijitu ***** zao wana roho za ajabu sana kwa watanzania wenzio
Halafu mbaya mahakama waliamuru warudishiwe je wakifungua kesi ya madai
 
nadhani kuwe na utaratibu mzuri wa kudhibiti ng'ombe mipakani kabla hawajaingia nchini,pia kitu alichoongea rais juzi kuhusu kutaifisha ranch waliopewa wawekezaji ambao na wao wanawakodishia wakulima nakubaliana nacho,wafugaji wetu hamna haja ya kuvusha ng'ombe nchi jirani wakati tuna ranch hazitumiki ipasavyo

Hivi huwaga unaelewa au akili yako ndogo maana hao ng'ombe siwalitakiwa waachiwe toka mwaka jana mpaka leo halafu wewe unazungumzia ujinga ambao hauhusiani na habari hata kidogo
 
Ukiona ile video utazidi kuona tatizo kubwa vichwani mwa viongozi wetu.
Hivi ng'ombe wa kwanza anakufa unapewa taarifa huchukui uamuzi mpaka wanatimia mia sita na ushehe ndipo unatoa uamuzi huku waliobaki hata mia mija sidhani kama wanapita.

Nilimwambia wife huku tunaitazama ile video kuwa ningekuwa mimi nimepewa dhamana ya kuwalinda nisingekubali wanifie mikononi mwangu kwa kiwango kile.
 
Hili ni tukio la pili ndani ya muda wa chini ya wiki mbili tunashuhudia ukatili mkuu dhidi ya wanyama. Juzi ilikuwa kuku, leo ngombe. Serukali katili sana hii! Baada ya kuwakatili wadamu kwa kuwabomolea nyumba zao bila kujali lolote hadi kupelekea vifo, hamu yao ya kuwatesa binadamu wenzao imehamia kwa wanyama. Aibu!
 
Back
Top Bottom