Baada ya Mzungu 'kuondoka' Wa South weusi washindwa kuiendeleza nchi yao!

Nichumu Nibebike

JF-Expert Member
Aug 28, 2016
8,660
15,744
Japo sikukaa South kwa siku nyingi, ila ile picha niliyoiona pale Johannesburg na Pretoria inaonesha kuwa majengo mengi ni mazee na yalijengwa kabla ya mwaka 94.
Ukipita Johannesburg au Pretoria construction site ni vitu adimu sana.
Hii inaonesha kuwa Wasouth weusi wameshindwa kuipaisha nchi yao kiuchumi baada ya mtu mweupe kupunguza nguvu ya kuinvest South....
Kama hali ikiendelea hivi, siku za usoni, South itakuja kupigwa gepu sana la miundo mbinu na nchi kama Tanzania na Kenya ambazo zinajikita zaidi kaitika eneo hilo la infrastructure development...
 
Uongzi, aliekuwa na mapenzi na south, alikuwa marehemu Mandela bad thing ni kuwa alimaliza nguvu magereza, hawa kina zuma ni walewale wapiga dili, alijichitea akajenga kwake ya umaa hayamuhusu, hawa ndi viongozi wetu wabovu wanaotetewa na vyama kubaki madarakani hata kama hawana sifa..
 
Japo sikukaa South kwa siku nyingi, ila ile picha niliyoiona pale Johannesburg na Pretoria inaonesha kuwa majengo mengi ni mazee na yalijengwa kabla ya mwaka 94.
Ukipita Johannesburg au Pretoria construction site ni vitu adimu sana.
Hii inaonesha kuwa Wasouth weusi wameshindwa kuipaisha nchi yao kiuchumi baada ya mtu mweupe kupunguza nguvu ya kuinvest South....
Kama hali ikiendelea hivi, siku za usoni, South itakuja kupigwa gepu sana la miundo mbinu na nchi kama Tanzania na Kenya ambazo zinajikita zaidi kaitika eneo hilo la infrastructure development...

We utakuwa uneenda south ya kibiti si bure

Usifikiri huku kuna ccm
 
Ndo yale yale ya Mugabe,amekalia kunyoa ndevu tu kama Hitler,huku nchi ikiteketea...
Hana jipya,zaidi ya kusubiri kujifia kwenye kiti cha Uraisi...
 
weupe wa SA wamepeleka nguvu zao Australia!
Jazba ya watu weusi wa SA haita waacha salama hata kidogo!
 
Hawa kikubwa kwao ni kurusiwa kuishi mjini kwa uhuru. Ukitaka kulijua hilo baada ya Weupe kulijua hilo waliwaacha mjini na wao wakaelekea mashambani pia kuhakikisha bei ya vitu vyote muhimu vinauzwa kwa bei ya chini na vitu kwanza kabisa kwao ni Vyakula,Pombe ,Mavazi, Malazi na vitu vingine ili wanalizane wenyewe kwa wenyewe kwa kuuana kwani kuua Kwao ni kawaida lakini sio kwa makabila yote yako hivyo wengine kinachowaponza ni mazingira yaani yale ya kuupenda Umarekani kwa Sana . Mzungu wao wanavuna fedha kutoka ktk ardhi yao huku wao wanajirusha ktk mastarehe. Mwogope mtu anayeua ndo anamsachi aliyemuua lakini afadhali South ya sasa kwani mambo mengi yamebadilika kuendana na mwingiliano wa watu
 
Hiyo Darban zamani ukiingia supermarket ukaonekana una Dola hapo Lazima wamnyoshe mtu kwani mtu naingia kwa ajili kukuangalia kama una fedha nyingi umeumia
 
Mku kapicha kwangu ni Mimi nilikaa miaka 1994 mpaka 2002 ndo niliondoka huko na kurudi nyumba. Hata hivyo ninampango wa kwenda tena
 
Back
Top Bottom