Baada ya Mzee Kikwete kusema yeye binafsi ndio aliteua yale majina 5 ya wagombea Urais 2015, nimekubaliana na demokrasia ya CHADEMA

Nilichoona seems JK aliamua kumleta JPM Ili tuu kuwanyoosha waliokuwa wanamuita dhaifu,refer nimewaletea chuma kinatema cheche.

Japo ni kweli kwamba kuna baadhi ya mambo hakupenda bw.Magu alivyokuwa anatenda ikiwemo kujisifia Sana yeye personal na kuwafanya wenzie as if hakuna walichofanya.

Nakumbuka hata marehemu mkapa alianza kuchukizwa na hiyo tabia ya Magu .
 
Hii kauli yake ingekuwa na maana zaidi kama angeongea kipindi Marehemu mzee Mkapa na Magufuli wakiwa hai.
Kwani humo ndani walikuwa yeye na mkapa tuu,si kamati ina wajumbe wengine na wapo wanaweza kueleza kama ni kweli au hapana.

By the way aongee kipindi hicho Ili muanze kumnanga kwamba ndie katuletea balaa nchini?
 
Picha anayoikumbuka jk ni hii hapa
KIKWETE%20AIKUMBUKA%20HII%20PICHA!%20%20_Mama%20Suzanne%20MAGUFULI%20(Mama%20wa%20Marehemu%20H...jpg
 
JK amejua kuwazuga na wapambe mmezugika kisawasawa. JK mgombea wake anajulikana hata mtanzania mwenye umri wa miaka 15 sasa anamjua maana 2015 alikuwa na miaka 9.
Hilo halina ubishi lazima uwe na plan B,kama mgombea wake hakuungwa mkono ulitehemea asiwe na plan B? Bila shaka Magu aliwekwa kama plan B Ili kuua makundi yao.
 
Kuna watu hawajui how power works on Africa,Afrika Rais anayekuwepo Madarakani anakuwa na power sana na yeye ndio anachagua nani amrith.

Magufuli alivyo kuwa jeuri kama sio Kikwwte aliye muweka hapo basi asingempa Mama salma ubunge wa bwererer.
Hata hivyo Magufuli mwenyewe amisha lisema hill Mara nyingine kwamba Kikwete aliacha rafiko zake na akamchagua yeye.
Kwa historia ya Tanzania mambo hayaendi hivyo.

Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
 
Si lazima kuambiwa kila kitu.... Mengine ni siri za chumbani hazitolewi na kiongozi imara huubeba mzigo hata kama ni wa misumari.
 
JK amesema kuna watu waongo wanavumisha kwamba yeye hampendi Hayati Magufuli hiyi si kweli kwa sababu yeye ndio aliliweka jina lake kuwa namba 1 kati ya 5!

Kikwete amesema alipokea majina 38 ya waombaji wa urais na yeye binafsi akayapitia na kupata orodha ya majina 5 ambayo aliyapeleka kamati ya ulinzi na usalama ya chama na kisha kamati kuu.

JK amesema aliliweka jina la Magufuli namba 1 na alilitetea hadi mwisho japo alipingwa sana.

Nilichogundua hakuna tofauti kubwa kati ya CCM na CHADEMA linapofika swala la nguvu za Mwenyekiti.

Kwamba nguvu ya Mwenyekiti ni zaidi ya demokrasia.

Kikwete na Magufuli walikuwa marafiki wakubwa na wake zao ni marafiki wakubwa vile vile.

RIP Magufuli
CHADEMA na CCM ni CCM B na CCM A
Huko Sawa kabisa mkuu
 
Sasa hivi hakuna wa kuithibitisha tena, huyo ndiye JK mtoto wa mjini na mzee wa mipango.
Hii kauli yake ingekuwa na maana zaidi kama angeongea kipindi Marehemu mzee Mkapa na Magufuli wakiwa hai.
 
JK amesema kuna watu waongo wanavumisha kwamba yeye hampendi Hayati Magufuli hiyi si kweli kwa sababu yeye ndio aliliweka jina lake kuwa namba 1 kati ya 5!

Kikwete amesema alipokea majina 38 ya waombaji wa urais na yeye binafsi akayapitia na kupata orodha ya majina 5 ambayo aliyapeleka kamati ya ulinzi na usalama ya chama na kisha kamati kuu.

JK amesema aliliweka jina la Magufuli namba 1 na alilitetea hadi mwisho japo alipingwa sana.

Nilichogundua hakuna tofauti kubwa kati ya CCM na CHADEMA linapofika swala la nguvu za Mwenyekiti.

Kwamba nguvu ya Mwenyekiti ni zaidi ya demokrasia.

Kikwete na Magufuli walikuwa marafiki wakubwa na wake zao ni marafiki wakubwa vile vile.

RIP Magufuli
Kijana una uwezo mdogo Sana WA kufikiria aiseeee.
 
JK amesema kuna watu waongo wanavumisha kwamba yeye hampendi Hayati Magufuli hiyi si kweli kwa sababu yeye ndio aliliweka jina lake kuwa namba 1 kati ya 5!

Kikwete amesema alipokea majina 38 ya waombaji wa urais na yeye binafsi akayapitia na kupata orodha ya majina 5 ambayo aliyapeleka kamati ya ulinzi na usalama ya chama na kisha kamati kuu.

JK amesema aliliweka jina la Magufuli namba 1 na alilitetea hadi mwisho japo alipingwa sana.

Nilichogundua hakuna tofauti kubwa kati ya CCM na CHADEMA linapofika swala la nguvu za Mwenyekiti.

Kwamba nguvu ya Mwenyekiti ni zaidi ya demokrasia.

Kikwete na Magufuli walikuwa marafiki wakubwa na wake zao ni marafiki wakubwa vile vile.

RIP Magufuli
Ni kweli mwenyekiti ana nguvu
 
Ile "TUTUME"ya JK ni kwamba utuombe ushauri tukusaidie nani anafaa na nani wa kutupa,
 
Back
Top Bottom