Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,904
Nilichoona seems JK aliamua kumleta JPM Ili tuu kuwanyoosha waliokuwa wanamuita dhaifu,refer nimewaletea chuma kinatema cheche.
Japo ni kweli kwamba kuna baadhi ya mambo hakupenda bw.Magu alivyokuwa anatenda ikiwemo kujisifia Sana yeye personal na kuwafanya wenzie as if hakuna walichofanya.
Nakumbuka hata marehemu mkapa alianza kuchukizwa na hiyo tabia ya Magu .
Japo ni kweli kwamba kuna baadhi ya mambo hakupenda bw.Magu alivyokuwa anatenda ikiwemo kujisifia Sana yeye personal na kuwafanya wenzie as if hakuna walichofanya.
Nakumbuka hata marehemu mkapa alianza kuchukizwa na hiyo tabia ya Magu .