Baada ya Mwl. Mussa Iddy kulalamika, HESLB yatoa ufafanuzi kuhusu utaratibu wa urejeshaji mikopo

Mkuu vp kwenye salary slip ukimaliza ule mkopo wa kawaida retention haionekani au manake hata mimi nna mpango deni likiisha kwenye salary slip nikae zangu kimya labda rais ajaye atakuja kutuokoa na huu wizi.
Haionekani mkuu.

Labda kama ukitaka ionekane inabidi umwambie mwajiri wako aiingize.
Comment no.100, hiyo retention fee inachajiwa kwenye principal amount kwa reducing formular au inasalia hivyo hivyo?

Pili hii retention inachajiwa before hujaanza kulipa au kwa kipindi chote utakachokuwa unalipa?
Kwa maelezo yao retention fee inachajiwa kwenye principal amount.

Na inachajiwa katika kipindi chote kuanzia kipindi hujaanza kulipa mpaka utakapoanza kulipia na kuendelea hadi pale itakapoisha kulipwa hiyo principal amount!
 
Hawa watu hawajajibu kwa nini wanaweka retention, hawaoni huo ni kama wizi
 
Mkuu vp kwenye salary slip ukimaliza ule mkopo wa kawaida retention haionekani au manake hata mimi nna mpango deni likiisha kwenye salary slip nikae zangu kimya labda rais ajaye atakuja kutuokoa na huu wizi.
Haionekani mkuu.

Labda wewe mwenyewe uwaombe bodi wakuandikie barua ya kuomba hiyo retention fee iingizwe kwenye mfumo kama deni jipya. Barua hiyo utampelekea mwajiri wako then ataingiza deni hilo (retention fee) na wataanza kukukata moja kwa moja toka hazina.

Otherwise hiyo retention haiwezi kuingizwa kwenye salary slip yako bila wewe kumpelekea mwajiri wako taarifa hizo kupitia barua ambayo inabidi uipate toka bodi ya mikopo.
 
Aibu kwa serekali kushiriki wizi kwa wananchi wake, hata bank ukikopa wakati unalipa deni haliongezeki na ni biashara. Sasa hawa wanaleta wizi wa wazi kabisa kuibia wananchi wake.

HELSB nii taasisi ya seeekali inayotumika kurasimisha wizi.

Deni gani kila ukilipa linaongezeka
 
Nimepitia huo ufafanuzi uliotolewa na bodi nikaamini kweli tunachezewa akili.

Kipi cha maana kilichowekwa humo??

Toeni ufafanuzi na siyo siasa.
Hakuna zaidi ya wizi wa wazi ambao sasa wanataka kuhalalisha.
Mpaka sasa wanajitetea kua wapo sahihi
 
Haionekani mkuu.

Labda wewe mwenyewe uwaombe bodi wakuandikie barua ya kuomba hiyo retention fee iingizwe kwenye mfumo kama deni jipya. Barua hiyo utampelekea mwajiri wako then ataingiza deni hilo (retention fee) na wataanza kukukata moja kwa moja toka hazina.

Otherwise hiyo retention haiwezi kuingizwa kwenye salary slip yako bila wewe kumpelekea mwajiri wako taarifa hizo kupitia barua ambayo inabidi uipate toka bodi ya mikopo.
Kwa maelezo haya inaonekana kabisa ni wizi ambao serekali inauficha ficha. La sivyo wangeweka wazi
 
Shida inakuja pale watu mnapotaka kupewa mikopo bila kujua nikwa namna gan mnatakiwa kurejesha,kiukweli watu wanaihitaji mikopo hyo ila wawewanatoa miongozo kwa watu ili wajue at the end of the day wanatakiwa kurejesha vp deni lao,watu wanaumia sana na madeni na sio mikopo ya vyuo tu hata hyo ya kwa kaz zetu za kila siku.
 
Watu mbalimbali wamehoji kwa nini Watumishi wanapoidai Serikali hakunaga hiyo 'Rentetion fee'?
Swali limeshiba kweli kweli hili. Sijui tutapata majibu yenye 'ubao' maana hali ya chakula cha majibu juu ya masuala haya ni cha wasiwasi!
 
Kiukweli ni kukiuka mkataba, mtu unasaini mkataba makato 8% mwisho wa siku unalipa 15%, Kwa wale wa TGS D wanalamba 105,000 nzima nzima. Sio haki kwakweli.
Hakuna hata mmoja aliyeenda mahakamani kupata tafsiri halali ya haya malalamiko.
 
Jina nililokuwa natumia chuo sio hili nalotumia sasa, yaani yote yamebadilika..pia sipo kwenye ajira rasmi.
Halafu cha kushangaza nilishawahi kuangalia kama jina langu lipo kwenye list ya wadaiwa sikuliona, sisi tulikuwa wa mwanzo kupata mkopo enzi hizo 2004..ilikuwa simple sikumbuki kama nilijaza form..tuliandika majina, course unayosoma na account namba..baada ya wiki mbili mkopo ukaingia..

Hadi namaliza sikumbuki kujaza form yoyote. Nimehisi labda hawakuweka details vzr kwenye system. Sijawahi wauliza wenzangu kama wao wanadaiwa au la...
Umefanya la maana.
Mimi hii mbinu ya bi mkubwa ndipo nilipowapiga chenga. Na nina mpango kabisaa nibadilia majina. Kwani kitu gani bwana?
 
Hivi kama naweza kutumia TIN na leseni ya mama yangu.....hawezi fungua account bank akanipa full mandate ya cash management?

Loopholes bado zipo nyingi sana tu.
Kadri muda unavyoenda wanabana.........siku ukiotewa na deni litakua kubwa sana
 
Umefanya la maana.
Mimi hii mbinu ya bi mkubwa ndipo nilipowapiga chenga. Na nina mpango kabisaa nibadilia majina. Kwani kitu gani bwana?
Ubadili jina kukwepa mkopo? Ha haaa sio kazi rahisi ujue hasa kama upo katika ajira rasmi
 
Hivi kama naweza kutumia TIN na leseni ya mama yangu.....hawezi fungua account bank akanipa full mandate ya cash management?

Loopholes bado zipo nyingi sana tu.
Ukifungua account bank tin itatakiwa ifanane na jina lako I guess.
 
Bodi wanajua kabisa kuwa system yao haiwezi capture wadaiwa wote hivyo wale mliopo kwenye system ndio mtakaofidia wale "wadaiwa wasiojulikana" kwa kuongezwa hiyo retention fee.
 
Hawa jamaa siyo, Nilikuwa mmoja wapo walionufaika na mkopo, mpaka nahitimu Deni langu kilikuwa Million 1187500. Sent kadhaa,

Nimekaa kwenye ajira miaka 3 bila kukata na taarifa nilitoa kwa mwajiri, Lakini cha ajabu Kuja kuanzia makato (loan repayment) I nakuja Million 15 na kadhaa
 
Back
Top Bottom