ruby garnet
JF-Expert Member
- Apr 10, 2017
- 2,860
- 3,810
Kutokana na ujio wa mwenyekiti wa barrick siku chache zilizopita na kukubaliana na rais magufuli kuunda tume ya kujadiliana ili kutatua swala hili la makinikia.
Serikali imewaalika rasmi Barrick kwa kuanza mazungumuzo hayo.
Pamoja na hayo Acacia wamesema mazungumzo yeyote yale yatakayofikiwa kati ya serikali na Barrick lazima Acacia ayabariki na hata hivyo amesema atatoa ushirikiano kwa Barrick katika kutatua mzozo huu.
Serikali imewaalika rasmi Barrick kwa kuanza mazungumuzo hayo.
Pamoja na hayo Acacia wamesema mazungumzo yeyote yale yatakayofikiwa kati ya serikali na Barrick lazima Acacia ayabariki na hata hivyo amesema atatoa ushirikiano kwa Barrick katika kutatua mzozo huu.