Baada ya Mtambuzi ni mimi,nimepata Baby Boy leo!nigongewe like za kutosha

adau Wana MMU,
Taarifa ziwapatiziazo ni hivi,kwamba mwanaJF mwenzenu Fabinyo, leo 10/10/12 saa 2300hrs nimejaliwa kupata mtoto wa kiume.

Tuungane pamoja kunipongeza na mke wangu mama Nameles,pliz!asanteni

Hongera mkuu, mwenyezi mungu awape afya mama na mtoto, na wewe nguvu zakutafuta zaidi.
 
adau Wana MMU,
Taarifa ziwapatiziazo ni hivi,kwamba mwanaJF mwenzenu Fabinyo, leo 10/10/12 saa 2300hrs nimejaliwa kupata mtoto wa kiume.

Tuungane pamoja kunipongeza na mke wangu mama Nameles,pliz!asanteni

hongera kwako Mungu amjaalie akue kwa hekima na busara na malezi mazuri ya wazazi wake wote:pray:
:pray:
 
Angel mbona kimya kimya au hutaki wadowezi wa mtorisasa umekwisha kuanzia jmosi kila asubuhi natia timu kusalimia mpwa...hongereni zenu kwa kuongeza makamanda naamini hawatakuwa magamba
gamba halikai kwangu nitalitoaje nduki ha ha haaa Ahsante sana
 
Hongera Fabinyo, Mungu amjalie afya njema mama na mtoto. Duh! Wiki hii naona ni madume tu... Hongerini jamani
 
hongera fabinyo ,hongera sana!hala hala lakini mtoto atembee huyo,muone Mtambuzi kwa dawa nilizompa jana sa hizi anajipakulia tu bila wasiwasi!naona wiki ya ma baby boys hii!HONGERA SANA kaka!

Duh, we binti bila kunitaja siku yako haiwi nzuri.....LOL
Ni kweli kabisa huu ni mwaka wa madume, nilikuwa naongea na daktari mmoja wodi ya wazazi pale Amana akaniambia kwamba kwa takwimu za haraka haraka watoto waliozaliwa tangu mwaka huu uanze, idadi ya wanaume ni kubwa ukilinganisha na wanawake, wakati miaka ya nyuma watoto wa kike ndio waliokuwa wakiongoza kwa kuzaliwa....
Hongera fabinyo kwa kupata mtoto wa kiume, Hongera na mama Fabinyo pia kwa kutuletea kidume....
 
Last edited by a moderator:
Duh, we binti bila kunitaja siku yako haiwi nzuri.....LOL
Ni kweli kabisa huu ni mwaka wa madume, nilikuwa naongea na daktari mmoja wodi ya wazazi pale Amana akaniambia kwamba kwa takwimu za haraka haraka watoto waliozaliwa tangu mwaka huu uanze, idadi ya wanaume ni kubwa ukilinganisha na wanawake, wakati miaka ya nyuma watoto wa kike ndio waliokuwa wakiongoza kwa kuzaliwa....
Hongera fabinyo kwa kupata mtoto wa kiume, Hongera na mama Fabinyo pia kwa kutuletea kidume....

asante sana!!
 
Back
Top Bottom