Hongera kwa kulenga vizuriadau Wana MMU,Taarifa ziwapatiziazo ni hivi,kwamba mwanaJF mwenzenu Fabinyo, leo 10/10/12 saa 2300hrs nimejaliwa kupata mtoto wa kiume.Tuungane pamoja kunipongeza na mke wangu mama Nameles,pliz!asanteni
Kabla ya Mtambuzi pia mimi nilipata baby boy.........,Nakupongeza sana kwa kuongeza nguvu kazi ya Taifa..,Mlee katika maadili ya Mungu
adau Wana MMU,
Taarifa ziwapatiziazo ni hivi,kwamba mwanaJF mwenzenu Fabinyo, leo 10/10/12 saa 2300hrs nimejaliwa kupata mtoto wa kiume.
Tuungane pamoja kunipongeza na mke wangu mama Nameles,pliz!asanteni
Una hakika ni wa kwako chukua sample kacheck dna halafu urudi kutupa majibu