mkuu jiheshimu basi ni kweli sabodo anataka kujenga kitega uchumi but alisema asilimia 10% ya mapato kwenye jengo hilo yatatumika kujengea visima, chadema wameingiaje hapo mkuu!?
mkuu jiheshimu basi ni kweli sabodo anataka kujenga kitega uchumi but alisema asilimia 10% ya mapato kwenye jengo hilo yatatumika kujengea visima, chadema wameingiaje hapo mkuu!?Wanabodi. Baada ya mpango na mikakati ya Kada wa CCM Mustafa Sabodo, ya kujenga visima ambavyo vitasimamiwa na Chadema kuwa hadithi baada ya kupewa milioni 200 na hakuna dalili zozote za ujenzi wa visima. Mustafa Sabodo kaja na mpango mpya wa kujenga visima , Manispaa ya Ilala imemkabidhi kibali cha ujenzi wa maegesho ya magari Dar es Salaam. Jengo hilo ambalo litakuwa la ghorofa 10 litagharimu zaidi ya Sh5 bilioni, huku likitarajiwa kuchukuwa magari 180 kwa wakati mmoja, baada ya kukamilika ujenzi huo na kuanza kufanya kazi fedha zitakazopatikana zitatumika kujenga visima vya maji vijijini. Habari zilipatikana kutoka kwa familia ya Mustafa Sabodo, ameamua kutumia mpango huo baada ya vyama vya siasa kutafuna pesa za visima ambavyo Sabodo alitoa.
Chadema hakuna lolote,ni kama matapeli wa mjini tu
Wewe ni mkewe Sabodo?Visima vimejengwa wapi ebu tuambie sehemu ambazo vimejengwa hivyo visima...Mzee Sabodo, asingelalamika.
Chadema hakuna lolote,ni kama matapeli wa mjini tu
si unaona safar za slaa nje zmeongezeka? Chama hakina hata vyanzo vya mapato unategemea nin c wanatafuna tu hzo
Mkuu kwa hiyo wewe ulikuwa utaki Sabodo ajenge jengo hilo wala asilalamike pesa zake kuliwa?
Jamani to be honest binafsi sielewi mpango huo wa Visima hivyo alivyodhamin Sabodo umeishia wapi? Najua JF hakukosi kitu so mwenye taarifa juu ya utekelezaji wa mpango huo wa hivyo visima na wapi mpango huo umefikia mpaka sasa atujulishe Tafadhari.
Wanabodi.
Baada ya mpango na mikakati ya Kada wa CCM Mustafa Sabodo, ya kujenga visima ambavyo vitasimamiwa na Chadema kuwa hadithi baada ya kupewa milioni 200 na hakuna dalili zozote za ujenzi wa visima.
Mustafa Sabodo kaja na mpango mpya wa kujenga visima , Manispaa ya Ilala imemkabidhi kibali cha ujenzi wa maegesho ya magari Dar es Salaam.
Jengo hilo ambalo litakuwa la ghorofa 10 litagharimu zaidi ya Sh5 bilioni, huku likitarajiwa kuchukuwa magari 180 kwa wakati mmoja, baada ya kukamilika ujenzi huo na kuanza kufanya kazi fedha zitakazopatikana zitatumika kujenga visima vya maji vijijini.
Habari zilipatikana kutoka kwa familia ya Mustafa Sabodo, ameamua kutumia mpango huo baada ya vyama vya siasa kutafuna pesa za visima ambavyo Sabodo alitoa.