Baada ya mpango wa kujenga visima kukwama ndani ya Chadema, Sabodo kaja na mbinu mpya

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
46,554
31,875
Wanabodi.

Baada ya mpango na mikakati ya Kada wa CCM Mustafa Sabodo, ya kujenga visima ambavyo vitasimamiwa na Chadema kuwa hadithi baada ya kupewa milioni 200 na hakuna dalili zozote za ujenzi wa visima.

Mustafa Sabodo kaja na mpango mpya wa kujenga visima , Manispaa ya Ilala imemkabidhi kibali cha ujenzi wa maegesho ya magari Dar es Salaam.

Jengo hilo ambalo litakuwa la ghorofa 10 litagharimu zaidi ya Sh5 bilioni, huku likitarajiwa kuchukuwa magari 180 kwa wakati mmoja, baada ya kukamilika ujenzi huo na kuanza kufanya kazi fedha zitakazopatikana zitatumika kujenga visima vya maji vijijini.

Habari zilipatikana kutoka kwa familia ya Mustafa Sabodo, ameamua kutumia mpango huo baada ya vyama vya siasa kutafuna pesa za visima ambavyo Sabodo alitoa.
 
visima mbona vinajengwa na tumeshuhudia wenyewe?? nyie watu mnaishi ulaya afu mnajidai mnajua habari za tz...
 
hawa watu wa ccm wamefikia mahali vichwa havitumiki tena kwenye kufikirii bali matumbo yamechukua nafasi hiyo.
 
visima mbona vinajengwa na tumeshuhudia wenyewe?? nyie watu mnaishi ulaya afu mnajidai mnajua habari za tz...

Visima vimejengwa wapi ebu tuambie sehemu ambazo vimejengwa hivyo visima...Mzee Sabodo, asingelalamika.
 
Wanabodi.

Baada ya mpango na mikakati ya Kada wa CCM Mustafa Sabodo, ya kujenga visima ambavyo vitasimamiwa na Chadema kuwa hadithi baada ya kupewa milioni 200 na hakuna dalili zozote za ujenzi wa visima.

Mustafa Sabodo kaja na mpango mpya wa kujenga visima , Manispaa ya Ilala imemkabidhi kibali cha ujenzi wa maegesho ya magari Dar es Salaam.

Jengo hilo ambalo litakuwa la ghorofa 10 litagharimu zaidi ya Sh5 bilioni, huku likitarajiwa kuchukuwa magari 180 kwa wakati mmoja, baada ya kukamilika ujenzi huo na kuanza kufanya kazi fedha zitakazopatikana zitatumika kujenga visima vya maji vijijini.

Habari zilipatikana kutoka kwa familia ya Mustafa Sabodo, ameamua kutumia mpango huo baada ya vyama vya siasa kutafuna pesa za visima ambavyo Sabodo alitoa.

Kiongozi naona kama umeungaunga kidogo hii story. Mzee Sabodo anajenga maegesho Ilala kwa gharama ya shs 5bn. Manispaa ya Ilala inatarajia kutumia 'parking fee' (gharama za kuegesha gari) ili kujenga visima vya maji katika manispaa yao ya Ilala. Hivyo visima vitajengwa kutokana na parking fee na sio hizo shs 5bn.
 
Ritz komaa na business hizi propaganda huwezi ndg yangu.Kama Nape kashindwa itakuwa wewe? Any way jaribu!
 
Kiongozi naona kama umeungaunga kidogo hii story. Mzee Sabodo anajenga maegesho Ilala kwa gharama ya shs 5bn. Manispaa ya Ilala inatarajia kutumia 'parking fee' (gharama za kuegesha gari) ili kujenga visima vya maji katika manispaa yao ya Ilala. Hivyo visima vitajengwa kutokana na parking fee na sio hizo shs 5bn.

Kiongozi hilo jengo litakuwa chini ya Taasisi ya (KSIJ) sasa hiyo habari sijui umeipata wapi...ebu nisome vizuri tena mstari kwa mstari.
 
Wanabodi.

Baada ya mpango na mikakati ya Kada wa CCM Mustafa Sabodo, ya kujenga visima ambavyo vitasimamiwa na Chadema kuwa hadithi baada ya kupewa milioni 200 na hakuna dalili zozote za ujenzi wa visima.

Mustafa Sabodo kaja na mpango mpya wa kujenga visima , Manispaa ya Ilala imemkabidhi kibali cha ujenzi wa maegesho ya magari Dar es Salaam.

Jengo hilo ambalo litakuwa la ghorofa 10 litagharimu zaidi ya Sh5 bilioni, huku likitarajiwa kuchukuwa magari 180 kwa wakati mmoja, baada ya kukamilika ujenzi huo na kuanza kufanya kazi fedha zitakazopatikana zitatumika kujenga visima vya maji vijijini.

Habari zilipatikana kutoka kwa familia ya Mustafa Sabodo, ameamua kutumia mpango huo baada ya vyama vya siasa kutafuna pesa za visima ambavyo Sabodo alitoa.

Sasa Tanzania hii nani sio muongo na mtafunaji wa mali za wengine?
 
Ritz komaa na business hizi propaganda huwezi ndg yangu.Kama Nape kashindwa itakuwa wewe? Any way jaribu!

MADABADA,
Wewe! Nape ndio unamugopa sana? Nape ni kijana mdogo tu watu tunamtuma sokoni tu.
 
Visima vimejengwa wapi ebu tuambie sehemu ambazo vimejengwa hivyo visima...Mzee Sabodo, asingelalamika.


kweli akili yako ikitawaliwa na fikra za ccm unaweza kuambiwa kula mavi yako ukakubali maana ndivyo akili ilivyo
 
Wanabodi.

Baada ya mpango na mikakati ya Kada wa CCM Mustafa Sabodo, ya kujenga visima ambavyo vitasimamiwa na Chadema kuwa hadithi baada ya kupewa milioni 200 na hakuna dalili zozote za ujenzi wa visima.

Mustafa Sabodo kaja na mpango mpya wa kujenga visima , Manispaa ya Ilala imemkabidhi kibali cha ujenzi wa maegesho ya magari Dar es Salaam.

Jengo hilo ambalo litakuwa la ghorofa 10 litagharimu zaidi ya Sh5 bilioni, huku likitarajiwa kuchukuwa magari 180 kwa wakati mmoja, baada ya kukamilika ujenzi huo na kuanza kufanya kazi fedha zitakazopatikana zitatumika kujenga visima vya maji vijijini.

Habari zilipatikana kutoka kwa familia ya Mustafa Sabodo, ameamua kutumia mpango huo baada ya vyama vya siasa kutafuna pesa za visima ambavyo Sabodo alitoa.
mkuu jiheshimu basi ni kweli sabodo anataka kujenga kitega uchumi but alisema asilimia 10% ya mapato kwenye jengo hilo yatatumika kujengea visima, chadema wameingiaje hapo mkuu!?
 
Sasa Tanzania hii nani sio muongo na mtafunaji wa mali za wengine?

Mzee Sabodo ni mtu mmoja makini sana...hujue kaishawapa Chadema zaidi ya Milioni 300 kwa ajili ya ujenzi wa visima vya maji, Sabodo katoa pesa hizo baada ya uchaguzi wa Igunga, lakini mpaka leo hakuna hata kisima kimoja kilichojengwa na Chadema.
 
Incredible, Riz.

Your inept government has failed to deliver the obvious, now your sick mind tells you to excite on Sabodo's (i.e. individual) endeavors.

Get it Riz, 50+ yrs ccm has failed in everthing by truest sense of the word. CDM hadly has 0.01 of you yet you come-up with spinless propaganda. Facts you won't turn the tide now
 
Mzee Sabodo ni mtu mmoja makini sana...hujue kaishawapa Chadema zaidi ya Milioni 300 kwa ajili ya ujenzi wa visima vya maji, Sabodo katoa pesa hizo baada ya uchaguzi wa Igunga, lakini mpaka leo hakuna hata kisima kimoja kilichojengwa na Chadema.

Haijalishi mbona yeye mwenye chake u kimya, au weye ndo wale ----------------.
 
Jana nimesikia Mzee Peter Kisumo amemuvua uanachama wa CCM mzee Sobodo. Mbona wewe Ritz bado unamuita kada wa CCM?
 
kweli akili yako ikitawaliwa na fikra za ccm unaweza kuambiwa kula mavi yako ukakubali maana ndivyo akili ilivyo

Mdogo wangu afadhali kuchakaa nguo kuliko kuchakaa akili...nguo unaweza kwenda dukani kununua akili je?
 
hawa ndio wanadandia gari moshi kwa mbele, hi story ya siku nyingi sana, walichofanya jana ni kumkabidhi tu kibari cha ujenzi
 
Incredible, Riz.

Your inept government has failed to deliver the obvious, now your sick mind tells you to excite on Sabodo's (i.e. individual) endeavors.

Get it Riz, 50+ yrs ccm has failed in everthing by truest sense of the word. CDM hadly has 0.01 of you yet you come-up with spinless propaganda. Facts you won't turn the tide now

Increadibility Ronal Reagan.

He who ridicules the good will be overtaken by evil..
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom