Kavirondo
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 751
- 1,593
Ukishagundua sio..Unaanzaje kumchukia/kumdenounce mtoto mliyetengeneza nae bond kwa muda mrefu?Pole sana mkuu! Jamani ukizaa mtoto wa kwanza ukaona sura ipo mbali nawe, ukazaa tena wa pili na yeye akawa hivyoivyo, Hata kama wanafanana na mama yao fanya hima upate vipimo vya DNA, Vinginevyo kuna janga mbele yako!
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app