Baada ya miaka kadhaa ya ndoa, nimegundua watoto wote si wangu

Pole sana mkuu! Jamani ukizaa mtoto wa kwanza ukaona sura ipo mbali nawe, ukazaa tena wa pili na yeye akawa hivyoivyo, Hata kama wanafanana na mama yao fanya hima upate vipimo vya DNA, Vinginevyo kuna janga mbele yako!
Ukishagundua sio..Unaanzaje kumchukia/kumdenounce mtoto mliyetengeneza nae bond kwa muda mrefu?


Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Mwanaume kama huna uwezo wa kupata watoto mkeo akikuletea wa nje tulia maisha yasonge.
Ni sawa na wanaume wanaozaa nje kama mke hana uwezo wa kuzaa.
Tulieni.
Kwahiyo haya ndio yanayoendelea kwenye ndoa ZENU

Ni kuchepuka na kazilisha (Shwa) tuu?

Laiti kama dunia ingenielewa KUSINGEKUWA NA KUOA.

#YNWA
 
Mwanaume kama huna uwezo wa kupata watoto mkeo akikuletea wa nje tulia maisha yasonge.
Ni sawa na wanaume wanaozaa nje kama mke hana uwezo wa kuzaa.
Tulieni.
Hii sio sawa mnahalalisha uzinzi ndani ya ndoa

Watoto wakalelewe na baba zao.
 
Kwahiyo haya ndio yanayoendelea kwenye ndoa ZENU

Ni kuchepuka na kazilisha (Shwa) tuu?

Laiti kama dunia ingenielewa KUSINGEKUWA NA KUOA.

#YNWA
Hayajaanza leo hakuna cha ajabu hata wanaume mke asipozaa anaenda kuzaa kwingine. Kwanini mtu afe hajapata mtoto na kizazi anacho? Unaijua stress ya kutopata mtoto?
Halafu kama unaoa ili dunia ikuone inashangaza.
 
Hao watoto ni wako hizo dna ni za uongo uongo tu kama ramli za kwa waganga. Kama wewe ndio mwenye ndoa hao watoto wa kwako. Hakuna mzinifu alie na mtoto

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
DNA za uongo, wewe uko dunia gani?

Nawashauri muangalie kipindi cha Paternity Court cha jaji Lauren Lake uone kama DNA ni uongo. Vipo kibao kwenye youtube na vitawafungua ubongo wengi.
 
Mwanachama #002

Shangazi Lisa Naomba unipostie ID yang ficha!

Shangazi amini dunia hii ina mambo mengi, changamoto za ndoa hazifanani ,yakwangu imenijia vibaya! Sijajipanga kwa hili kabisa! Na hapa najuta kwanini nilioa! Shangazi natoa mkasaa wangu nivumilie 2 maana ni aibu sana!

Nijitambulishe kama Omari... Mm nilioa mwanamke mmoja hii wa kizigua anaitwa Mwajuma! Na sasaiv tunatimiza miaka 16 pamoja! Katika ndoa yetu Tumejaliwa watoto watatu...

Shangazi Kamwe katika akili yangu sikuwahi kufikiria kuwa nitakua nikipenda watoto na kulea watoto ambao sio wangu... Watoto wa mwanaume mwingine! Hii kitu inauma sana sana! Na siku zote mwajuma alikua ananificha!

Nilipomuoa mwajuma nilikua na miaka 26 nilimzidi mwajuma kama na miaka 3 hivi ingawaje sina uhakika maana asilimia kubwa ya wanawake wa Handeni wengi elimu yao ni ya kuunga ungaa! Hii ni binafs lakin!

Sasa tokea nimuoe mwajuma nilijua nitakua na familia yenye furaha sana maana alionesha ananipenda na kunijali sana! Nina imani walio wai kupata watanga kidogo watanielewa walivojua ku care mwanaume!

Nilipomuoa mwajuma tulikaa miaka mitano! Ya panga pangua lakin hatutupata mtoto! Hapa wote tuliingia wasiwasi... Nimeshinda vijiwe vya kahawa na nimetumia sana dawa za miti shamba! Masheikh walipita na "kahawa dawa" wengine alkasusi yote hayo nimetumia! Nikiamini naboresha mechii...

Lakini ndani ya miaka 5 hiyo tumeishii na wasiwasi sana! Tukaona isiwe swala tukaenda hospitali kupata vipimo kwa kweli kila ki2 kilikua shwari na tulishauriwa tule matunda na tufanye mazoezi na tumuombe mungu maana uwezo wa kuzaa tunao!

Kweli ilipita kama miezi mitatu hivi mwajuma kaanza kupata magonjwa madogo dogo na ilipobainika ni dalili za mimba basi shangazi sikufichi nilifurai sana sana nilijua ni mwezi wa furaha kwani tuliianza rasmi kupangilia maisha kwa ajili ya mtoto

Miezi nane na masiku hivii mwajuma Alizaa mtoto wetu wa kwanza, mvulana,na hapo badae ndani ya kipindi cha miaka minne, tulikuwa na watoto wengine wawili, msichana na mvulana mwingine.

Kwa kweli mjomba magu alivoingia madarakani mambo yalibana sana na Tuliamua tuache kwanza maswala ya kutafta watoto wengine ili tuwape watoto hawa maisha bora. Shangazi yaani nilijitutumua na Nilihakikisha wamehudhuria shule nzuri zenye sifa hapa Dar

Wakati wa weekend niliwazoesha kuwatoa hata out kuwapeleka kigamboni ,watoto wakiogelea na mm na mama watoto tunapanga mikakati ya maisha! Nilihakikisha nimewafurahisha na hakuna walichokikosa

Lakini sasa, furaha hiyo ilipunguzwa ghafla wakati kuna mtu mmoja hivi alipiga simu ya mwajuma nikaona isiwe kesii nipokee nimwambie kua mwenywe katoka atarudi... Japo niliskia ni sauti ya kiume lakin nilichukulia huenda ni mteja wake maana nilimfungulia sehemu ya kuuza mkaa... Anatoa shamba analeta huku dar anapiga hela...

Siku nyingine namba ile ile ikapiga lakini jamaa alionekana kama anahasira! Sasa mm uvumilivu ukanishinda maana mke wakwangu hata kama nj mteja anawezaje kumfokea mke wangu.. Basi pale jamaa kamwaga upupu kuwa mtoto wa kiume wa mwisho ni wake! Na anamtakaa damu yake haiwezi kukaa mbali nae

Mm yale maneno nikamuuliza mwajuma huyo mtu anaishi wapi kutokana na hasira zangu nilimfata maana ilikua ni mtaa wa pili nikachukua pikipiki kwa mwanagu mmoja nikaamsha!

Kulizuka fujo na tukajibizana vibaya tukaona ilipofikia sasa ni kuweka heshima! Basi tukaanza kunyukana na nilivokua na hasira nikamkalisha chini na makonde! Majirani waliita polisi na tukapelekwa kituo cha mburuhati

Tulipofika kituoni,jamaa alilalamika kuwa kufanyike vipimo na polisi walishauri twende kupima DNA na nilijiamini maana mwajuma cjawai kuskia skendo zake tokea tuna anza kudate!

Lakini nilipigwa na butwa kubwa sana majibu kuja na ilithibitishwa kuwa sikuwa baba mzazi wa mtoto.
Wakati bado katika hali hiyo ya mshtuko...nilivurugwa kiasi cha kwamba nikajiona hanisi... Sasa yule daktari kaniita pembeni na kusema " bro aiseh polee embu jikazee kiume! Kaza kifua, ila mm ningekushaur upime na hao wengine! Huenda kuna siri nzito" nikasema sawa!

Watoto wakaletwa na majibu yalikuja kuwa sio wakwangu. nilikuwa nikitunza watoto wa wanaume wengine. Hapo ndipo mwajuma alipokiri kwamba wakati sikuweza kumpa mimba miaka yote hiyo aliamua kulala na wanaume wengine

Yaani pale kama sio yule daktari aki ya mungu mwajuma angekimbizwa chumba cha kuhifadhia maiti huko hospitali.

Sasaiv siamini nina miaka 42 sina mtoto sina mke! Yaani inauma sana! Najiona nimepoteza mdaa wangu bure! Najuta kwanini sikua na kimadaa njee! Kwa kweli tupo hapa tunaendelea na kesi ya Talaka

Napenda nishauriwe kwa kweli inauma! View attachment 1863504
“Kwanini sikuwa na kimada nje”

Hiyo ni point ambayo ME wote ni lazima tuifanyie kazi

Hata serikali kuna checks and balances
 
Mwanachama #002

Shangazi Lisa Naomba unipostie ID yang ficha!

Shangazi amini dunia hii ina mambo mengi, changamoto za ndoa hazifanani ,yakwangu imenijia vibaya! Sijajipanga kwa hili kabisa! Na hapa najuta kwanini nilioa! Shangazi natoa mkasaa wangu nivumilie 2 maana ni aibu sana!

Nijitambulishe kama Omari... Mm nilioa mwanamke mmoja hii wa kizigua anaitwa Mwajuma! Na sasaiv tunatimiza miaka 16 pamoja! Katika ndoa yetu Tumejaliwa watoto watatu...

Shangazi Kamwe katika akili yangu sikuwahi kufikiria kuwa nitakua nikipenda watoto na kulea watoto ambao sio wangu... Watoto wa mwanaume mwingine! Hii kitu inauma sana sana! Na siku zote mwajuma alikua ananificha!

Nilipomuoa mwajuma nilikua na miaka 26 nilimzidi mwajuma kama na miaka 3 hivi ingawaje sina uhakika maana asilimia kubwa ya wanawake wa Handeni wengi elimu yao ni ya kuunga ungaa! Hii ni binafs lakin!

Sasa tokea nimuoe mwajuma nilijua nitakua na familia yenye furaha sana maana alionesha ananipenda na kunijali sana! Nina imani walio wai kupata watanga kidogo watanielewa walivojua ku care mwanaume!

Nilipomuoa mwajuma tulikaa miaka mitano! Ya panga pangua lakin hatutupata mtoto! Hapa wote tuliingia wasiwasi... Nimeshinda vijiwe vya kahawa na nimetumia sana dawa za miti shamba! Masheikh walipita na "kahawa dawa" wengine alkasusi yote hayo nimetumia! Nikiamini naboresha mechii...

Lakini ndani ya miaka 5 hiyo tumeishii na wasiwasi sana! Tukaona isiwe swala tukaenda hospitali kupata vipimo kwa kweli kila ki2 kilikua shwari na tulishauriwa tule matunda na tufanye mazoezi na tumuombe mungu maana uwezo wa kuzaa tunao!

Kweli ilipita kama miezi mitatu hivi mwajuma kaanza kupata magonjwa madogo dogo na ilipobainika ni dalili za mimba basi shangazi sikufichi nilifurai sana sana nilijua ni mwezi wa furaha kwani tuliianza rasmi kupangilia maisha kwa ajili ya mtoto

Miezi nane na masiku hivii mwajuma Alizaa mtoto wetu wa kwanza, mvulana,na hapo badae ndani ya kipindi cha miaka minne, tulikuwa na watoto wengine wawili, msichana na mvulana mwingine.

Kwa kweli mjomba magu alivoingia madarakani mambo yalibana sana na Tuliamua tuache kwanza maswala ya kutafta watoto wengine ili tuwape watoto hawa maisha bora. Shangazi yaani nilijitutumua na Nilihakikisha wamehudhuria shule nzuri zenye sifa hapa Dar

Wakati wa weekend niliwazoesha kuwatoa hata out kuwapeleka kigamboni ,watoto wakiogelea na mm na mama watoto tunapanga mikakati ya maisha! Nilihakikisha nimewafurahisha na hakuna walichokikosa

Lakini sasa, furaha hiyo ilipunguzwa ghafla wakati kuna mtu mmoja hivi alipiga simu ya mwajuma nikaona isiwe kesii nipokee nimwambie kua mwenywe katoka atarudi... Japo niliskia ni sauti ya kiume lakin nilichukulia huenda ni mteja wake maana nilimfungulia sehemu ya kuuza mkaa... Anatoa shamba analeta huku dar anapiga hela...

Siku nyingine namba ile ile ikapiga lakini jamaa alionekana kama anahasira! Sasa mm uvumilivu ukanishinda maana mke wakwangu hata kama nj mteja anawezaje kumfokea mke wangu.. Basi pale jamaa kamwaga upupu kuwa mtoto wa kiume wa mwisho ni wake! Na anamtakaa damu yake haiwezi kukaa mbali nae

Mm yale maneno nikamuuliza mwajuma huyo mtu anaishi wapi kutokana na hasira zangu nilimfata maana ilikua ni mtaa wa pili nikachukua pikipiki kwa mwanagu mmoja nikaamsha!

Kulizuka fujo na tukajibizana vibaya tukaona ilipofikia sasa ni kuweka heshima! Basi tukaanza kunyukana na nilivokua na hasira nikamkalisha chini na makonde! Majirani waliita polisi na tukapelekwa kituo cha mburuhati

Tulipofika kituoni,jamaa alilalamika kuwa kufanyike vipimo na polisi walishauri twende kupima DNA na nilijiamini maana mwajuma cjawai kuskia skendo zake tokea tuna anza kudate!

Lakini nilipigwa na butwa kubwa sana majibu kuja na ilithibitishwa kuwa sikuwa baba mzazi wa mtoto.
Wakati bado katika hali hiyo ya mshtuko...nilivurugwa kiasi cha kwamba nikajiona hanisi... Sasa yule daktari kaniita pembeni na kusema " bro aiseh polee embu jikazee kiume! Kaza kifua, ila mm ningekushaur upime na hao wengine! Huenda kuna siri nzito" nikasema sawa!

Watoto wakaletwa na majibu yalikuja kuwa sio wakwangu. nilikuwa nikitunza watoto wa wanaume wengine. Hapo ndipo mwajuma alipokiri kwamba wakati sikuweza kumpa mimba miaka yote hiyo aliamua kulala na wanaume wengine

Yaani pale kama sio yule daktari aki ya mungu mwajuma angekimbizwa chumba cha kuhifadhia maiti huko hospitali.

Sasaiv siamini nina miaka 42 sina mtoto sina mke! Yaani inauma sana! Najiona nimepoteza mdaa wangu bure! Najuta kwanini sikua na kimadaa njee! Kwa kweli tupo hapa tunaendelea na kesi ya Talaka

Napenda nishauriwe kwa kweli inauma! View attachment 1863504
Kuna uwezekano jamaa hayuko Sawa kwenye masuala ya uzazi.
 
Back
Top Bottom