Kimbakuli
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 405
- 427
To be honest mimi niliacha kabisa kuangalia hotuba za Rais aliyepita baada ya kuona kwamba mh alikuwa anatukuna na kufokea watu km kawazaa yeye, maneno mengine ni kwenye nyimbo za mioasho lakini utayakuta kwenye hotuba yake, na jamaa alipenda mno kudharau watangulizi wake as if yeye ameleta kipya mno wakati watu ndo tumezidi kuwa masikini but hatimae kitabu chake duniani kimefungwa na mi nitamkumbuka kwa mabaya.
Awamu ya nne ulikuwa ukiniamsha usingizini nakutajia mawaziri wote na manaibu waziri ila awamu ya Magufuli nilikuwa namfahamu waziri mkata viuno na mpima samaki.
Hili ni funzo kwamba hata pale Mungu akitupa madaraka tusijipandishe sana tukasahau kwamba sisi ni binadamu wenye damu na nyama tu, muda wowote tunakufa na kuwa udongo.
TUISHI VIZURI NA WENZETU SIKU ZOTE HATA KAMA UNA MADARAKA MAKUBWA AU PESA NYINGI KUWA NA HESHIMA NA HEKIMA KWA WATU WOTE.
Awamu ya nne ulikuwa ukiniamsha usingizini nakutajia mawaziri wote na manaibu waziri ila awamu ya Magufuli nilikuwa namfahamu waziri mkata viuno na mpima samaki.
Hili ni funzo kwamba hata pale Mungu akitupa madaraka tusijipandishe sana tukasahau kwamba sisi ni binadamu wenye damu na nyama tu, muda wowote tunakufa na kuwa udongo.
TUISHI VIZURI NA WENZETU SIKU ZOTE HATA KAMA UNA MADARAKA MAKUBWA AU PESA NYINGI KUWA NA HESHIMA NA HEKIMA KWA WATU WOTE.