Inter Milan imetwaa ubingwa wa Italy baada ya miaka 11 kupita na kumaliza utawala wa Juventus ambayo imetwaa ubingwa kwa Mara kumi(10) mfululizi.
Mara ya mwisho inter kutwaa ubingwa ni msimu 2010/11 Chini ya kocha Mourinho na leo imetwaa ubingwa chini ya kocha Antonio Conte baada ya Atalanta kutoa draw na Sasoulo ivyo kuweka tofauti ya pointi 13 huku zikiwa zimebaki mechi 4 ambazo ni sawa na pointi 12.
Mara ya mwisho inter kutwaa ubingwa ni msimu 2010/11 Chini ya kocha Mourinho na leo imetwaa ubingwa chini ya kocha Antonio Conte baada ya Atalanta kutoa draw na Sasoulo ivyo kuweka tofauti ya pointi 13 huku zikiwa zimebaki mechi 4 ambazo ni sawa na pointi 12.