Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,671
- 40,912
Na ulikua umezikalia tu, nadhani unafahamu kuwa hilo ni kosa.Taarifa zote za Wawindaji haramu tunazo
Na ulikua umezikalia tu, nadhani unafahamu kuwa hilo ni kosa.Taarifa zote za Wawindaji haramu tunazo
Kuna siku atatoa tu sauti ,yule haachi kuropoka ...na atawakana wote.Mjinga mmoja aliyeko huko juu kabisa, wala hagusiki na hakosi kwenda kanisani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesi za kimbeambea sana ..Hizi Thomas zote mbona nimekaa kimbeambea sana? Sioni tuhuma zenye masahiro hapo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunakushukuru sana kwa picha , tumeihifadhi .View attachment 1374633
Na huyu ndo Nancy Nyalusi ..wanaesema Kimbe amemtaka hongo ya ngono wakati anaemtumia ni Rc Happy View attachment 1374633
Tunakushukuru sana mkuu kwa Taarifa za UhakikaH
Kesi za kimbeambea sana ..
Mtu aliyeko nyuma ya huu mchezo ni Magufuli,Lowasa,Rostam na Assas ...si unajua Magufuli n mzee wa kutisha tisha watu..
Hivyo hela zao haram za kibiashara wamezipeleka kununua madiwan..na watendaji wa Tamisemi kama vile wakuu wa mikoa,wakurugenzi na wakuu wa wilaya wakishindwa kuwashawishi ama kwa kutumia vyombo vya dola ndipo hutumia fedha kulainisha...wengine huahidiwa vyeo au kurudi kwenye nafasi zao kwa mabavu..
Utawala uliofilisika kuanzia mawazo hadi maono.
Chama kinanunua wapigiwa kura .
Maskini Tanzania yangu! Iliondoka na Mwalimu Nyerere.View attachment 1374606View attachment 1374607View attachment 1374608
Sijui nani huwa anabariki huu upuuzi .
Chama changu pendwa akili ipo gereza Isanga karibu na Mirembe .Maskini Tanzania yangu! Iliondoka na Mwalimu Nyerere.
Huu ni uhuni uliopitiliza. Enzi za Nyerere kesi ikiwa mahakamani watu walikuwa hawaingilii mwenendo wake.
Ndugu yangu ...nchi hii siyo tuliohahidiwa 2015.....Meya si alikamatwa na noti za Takukuru?
..tena nakumbuka DC Mh.Kasesela alijitokeza kwenye vyombo vya habari kueleza tukio hilo.
..sasa imekuwaje mpaka leo bado Takukuru wameshindwa kumfikisha mahakamani?