Baada ya Membe, Pinda naye asema yupo tayari kumuunga mkono Mwandosya asipoteuliwa

Hawa jamaa wameona kuwa majina yao siyo miongoni mwa wagombea sasa wanahaha kutafuta mbeleko bado Lowasa naye atasema hawana ujanja.

Wengine nao wasipofanya hivyo sasa, watafanya hivyo hapo baadae chama kitakapopitisha jina moja tarehe 12/07. Kwa hiyo ni suala la muda tu.
 
Asilimia karibia 97% kati ya 35 walichukua fomu zile mpaka leo hii basi hakuna 'presidential material' hapo. Ni watu waliokwenda kutia mbwembwe tu. Na wenyewe wanajijua hawatoboi na ni watu hawatafika hata huko kwenye stage ya kujadiliwa.
 
Asilimia karibia 97% kati ya 35 walichukua fomu zile mpaka leo hii basi hakuna 'presidential material' hapo. Ni watu waliokwenda kutia mbwembwe tu. Na wenyewe wanajijua hawatoboi na ni watu hawatafika hata huko kwenye stage ya kujadiliwa.
Nakubaliana na wewe; only about 3% wanwezakuwa presidential material. Wenye asilimia kubwa kuungwa mkono ni:

Prof. Mark Mwandosya:
Bado anaaminiwa na walomwezesha kuingia tatu bora 2005, ni meadilifu, hana makundi.

Dr. Salim A. S:
Anasifa na uwezo unaofanana na prof. Mwandosya

Imani ya wanaccm wale wa 2005 ukichanganya na experience mbaya ya mtandao uliopo madarakani ambao uliasisiwa na EL, RA, JK na wenzao. Hakika hawa wawili watafika 3 bora

Labda suala la zamu ya Uzanzibar tu.
 
CCM tayari wanaye mgombea bado taratibu tu za kumtangaza. Naye ni Jaji mstaafu Augustino Ramadhani. Mwandosya anatoka kabila kubwa na hafai kuwa rais kwa sababu zinazoeleweka. Kwa kuwa ni mwadilifu anaweza kuteuliwa kuwa waziri Mkuu.

Watu kama ninyi mnaozungumzia makabila nadhani huwa mnatumia MASABULI kufikiri!!.
 
Nakubaliana na wewe; only about 3% wanwezakuwa presidential material. Wenye asilimia kubwa kuungwa mkono ni:

Prof. Mark Mwandosya:
Bado anaaminiwa na walomwezesha kuingia tatu bora 2005, ni meadilifu, hana makundi.

Dr. Salim A. S:
Anasifa na uwezo unaofanana na prof. Mwandosya

Imani ya wanaccm wale wa 2005 ukichanganya na experience mbaya ya mtandao uliopo madarakani ambao uliasisiwa na EL, RA, JK na wenzao. Hakika hawa wawili watafika 3 bora

Labda suala la zamu ya Uzanzibar tu.

Kwani Salim kachukua fomu?
 
Hatutashangaa kumuona Mark ndani ya magogoni. Walau ana sifa za kuwa mwadilifu. Hata akizungumza unaiona nia na dhamira ya kuliokoa taifa (japo yupo dani ya mfumo wa serikali). Kwa nafasi aliyopewa ya kuwa waziri asiye na wizara maalum chini ya ofisi ya rais inaweza kuwa ulikuwa ni mkakati wa kumuandaa na mambo ya magogoni.

Kila la kheri Prof. Mark.
 
Kwani Salim kachukua fomu?
Anatarajiwa kuchukua (deadline bado sana).

Na asipofanya hivo, prof. Mwandosya njia nyeupeee! anaungwa mkono na senior officials wengi sana.

Anakubalika kuliko Mzanzibar mwingine yeyote (Ramadhani na Bilal hawana mvuto ndani vikao vyao maamuzi vyao ccm hata kwa wananchi wa kawaida ni sheeda)
 
Anatarajiwa kuchukua (deadline bado sana).

Na asipofanya hivo, prof. Mwandosya njia nyeupeee! anaungwa mkono na senior officials wengi sana.

Anakubalika kuliko Mzanzibar mwingine yeyote (Ramadhani na Bilal hawana mvuto ndani vikao vyao maamuzi vyao ccm hata kwa wananchi wa kawaida ni sheeda)

Mwandosya naye mzuri tu.
 
Anatarajiwa kuchukua (deadline bado sana).

Na asipofanya hivo, prof. Mwandosya njia nyeupeee! anaungwa mkono na senior officials wengi sana.

Anakubalika kuliko Mzanzibar mwingine yeyote (Ramadhani na Bilal hawana mvuto ndani vikao vyao maamuzi vyao ccm hata kwa wananchi wa kawaida ni sheeda)

Tafakari top 3 ya 2005 na vigezo vyake.
 
Back
Top Bottom