Ndio ujue kuwa hawa maaskofu ndio wasanii halisi-Watuambie agano lililoshuka na kusema JK si chaguo la Mungu tena!afadhali maaskofu wamekuwa wawazi zaidi, wasikubali hawa jamaa kutugawa wananchi! Kumbukeni 2005 walim-endorse kama chaguo la Mungu!
This time, wamemuona amekengeuka.
Long live Tz