Elections 2010 Baada ya Membe kugomewa; JK kuzungumza na Viongozi wa dini Usiku

afadhali maaskofu wamekuwa wawazi zaidi, wasikubali hawa jamaa kutugawa wananchi! Kumbukeni 2005 walim-endorse kama chaguo la Mungu!
This time, wamemuona amekengeuka.
Long live Tz
Ndio ujue kuwa hawa maaskofu ndio wasanii halisi-Watuambie agano lililoshuka na kusema JK si chaguo la Mungu tena!
 
Mimi namshangaa sana JK na timu yake wanapowalaumu viongozi wa dini kwa kuwa tu wametumia haki yao ya kikatiba kutoa maoni ya kutofautiana naye ...kama WALIVYOTUMIA HAKI YAO YA KIKATIBA KUMUUNGA MKONO MWAKA 2005...MKUKI KWA NGURUWE???

MYTAKE IS :- JK ALIFANYA KOSA SANA KUTUMIA VIONGOZI WA DINI MWAKA 2005 WAMFANYIE KAMPENI...NI WAZI INAWEZEKANA KUNA MAKUBALIANO ALIFANYA NAO AMBAYO HAKUYATEKELEZA NDIO MAANA WAMEMTUPA MKONO SAFARI HII..................TUWAACHE VIONGOZI WA DINI MAKANISANI NA MISIKITINI!!!

Mkuu umenikumbusha hapo nilipoweka wino mwekundu. JK kama anauwezo amwokoe Askofu Kilaini kule alikowekwa aje tena kumpigia kampeni

Ndio ujue kuwa hawa maaskofu ndio wasanii halisi-Watuambie agano lililoshuka na kusema JK si chaguo la Mungu tena!

Mkuu Askofu Kilaini ndo alianzaisha hilo la chaguo la Mungu, matokeo yake anayajua, sasa hivi yuko aliko na cheo chake cha kufikirika
 
Back
Top Bottom