msukuma fekero
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 2,252
- 2,901
Shida ni hawa viongozi wetu wababaishaji mnoAisee, Bongo bahati mbaya.
Yanga tunabahati kupata makocha wazuri sana.
Pluijm kasepa
Yule Mzambia nae alkuwa mzuri sana
Zahera jamani, mbona sisi Bundi haishi kulia.?