Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Wana JF
Nimepata habari hizi na nimebakia nashangaa ila nikaona vyema ku share na nyie. Last week Ben Malisa alimaliza kozi yake pale Chuo cha Diplomasia na akaamua kupanga party ya kufa mtu pale Beach.
Lakini la ajabu ni kwamba alilipa kila kitu na kila mwanafunzi aliye kuwa darasa moja na yeye alipewa Tshs 50,000 yeye aliziita za mafuta ya gari kumwezesha kufika kwenye mnuso.
Hiyo haikutosha kesho kuwa Ijumaa anawapeleka wanafunzi wenzake eti kwa kushirikiana na Mtanzania mwenzake kule SA kwa siku 3 Mjini Jburg Kila kimelipiwa nikiwa na maana ya accommodation na B & B wanarudi Jpili toka.
Nimejiuliza kwamba kwa nini kachagua wanafunzi 20 pekee wanaume 10 na wadada 10 anaruka nao na kwa pesa ipi na yote haya ni kwa ajili ya nani ?
Kama kuna mwenye nyeti zaidi tafadhali tuendelee kupeana maana huu ni ufisadi huyu B Malisa anauleta kwa jina la ku graduate kozi yake na wenzake.Yeye ame sponsor kila kitu.
Je kuna nini hapa?
Nimepata habari hizi na nimebakia nashangaa ila nikaona vyema ku share na nyie. Last week Ben Malisa alimaliza kozi yake pale Chuo cha Diplomasia na akaamua kupanga party ya kufa mtu pale Beach.
Lakini la ajabu ni kwamba alilipa kila kitu na kila mwanafunzi aliye kuwa darasa moja na yeye alipewa Tshs 50,000 yeye aliziita za mafuta ya gari kumwezesha kufika kwenye mnuso.
Hiyo haikutosha kesho kuwa Ijumaa anawapeleka wanafunzi wenzake eti kwa kushirikiana na Mtanzania mwenzake kule SA kwa siku 3 Mjini Jburg Kila kimelipiwa nikiwa na maana ya accommodation na B & B wanarudi Jpili toka.
Nimejiuliza kwamba kwa nini kachagua wanafunzi 20 pekee wanaume 10 na wadada 10 anaruka nao na kwa pesa ipi na yote haya ni kwa ajili ya nani ?
Kama kuna mwenye nyeti zaidi tafadhali tuendelee kupeana maana huu ni ufisadi huyu B Malisa anauleta kwa jina la ku graduate kozi yake na wenzake.Yeye ame sponsor kila kitu.
Je kuna nini hapa?