Mine eyes
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 6,431
- 7,090
Mmh...Muheshimu yule baba tafadhali..usimfananishe na yeyote
Wanaijeria wenyewe hawakubaliani naye..
Hakuwahi kubatizwa wala kuwa mkristo...
Kuna nuyzi zinamhusu humu...
Mmh...Muheshimu yule baba tafadhali..usimfananishe na yeyote
Na bado kuna mtu atapeleka sadaka hapo
UmenenaSharia!
Wonders shall never end
Una hakika?Mbona dini ya kiislamu haichezewi chezewi ?
Wenzetu mmewezaje na sisi tunakwama wapi?
Kwa kudhani au tunauhakika?
Mambo ya Nigeria hayoNigeria imehamia bongo!
wakijichanganya wakashika pumbu ndipo atakapochaRuka na dunia ifike ukingoni.Mwili wa Bwana ni kama wa tembo kila mtu, anashika sehemu alipo! Wakushika mkonga, haya! Wa masikio, haya! Wa mkia, haya! Bora neno la wokovu lifikie wenye kuelemewa na mizigo.
Ile sheria ili ufungue kanisa uwe angalau na Degree ya Theology ilipita kwenye bunge hili la Jabulon au la?
Hongera bibi yetuWajings ndio waliwao.
Wameona makondoo wengi.
AlhamduliLllah nashukuru mimi Muislam.
Ukichezea uislamu unakatwa kichwaMbona dini ya kiislamu haichezewi chezewi ?
Wenzetu mmewezaje na sisi tunakwama wapi?
Wajinga wengi wapo kwa mudi tukianza na wewe bibi kizee..Wajings ndio waliwao.
Wameona makondoo wengi.
AlhamduliLllah nashukuru mimi Muislam.