Baada ya Masanja kutumia picha za miradi ya Lesotho kuisifia Serikali ya awamu ya tano, Msemaji wa Serikali naye kaja na upotoshaji huu

Hivi mleta mada na masanja nani muongo? Masanja katumia picha Kama kiwakilishi cha habari yake haku sema ndio pamefikia hapo au ndio penyewe

Ifikie kipindi muwe mnafikiria mambo vizuri sijui akili zenu mnapelekaga wapi yaani

Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app
Na manyumbu kama kawaida yao bila kusoma wala kuelewa alichoandika Masanja, wamedandia trela. Kweli upumbaji nao ni mtaji.
 
Naishukuru serikali ya Awamu ya Tano imenisaidia kufikisha miaka 47 kwani Jana nilikuwa na miaka 46
 
Huyu dada ni mkurupukaji tu kama viongozi wengi tu upinzani. Anajidadavua kama mwenyekiti wa BAVICHA TEMEKE.

Hapo Masanja kadanganya nini na wapi?
Hajasema imefikia hivyo lakini ukiangalia ile michoro yao, hivyo ndivyo bwawa litakavyoonekana.

Ukimuuliza huo umeme ukikamilika atapinga kuutumia? Siasa nyingine za kishenzi shezi tu.

Si aeleze mipango yao mbadala ya kutuletea umeme utakaokuwa na bei nafuu zaidi ya huo wa Rufiji?
Ila kwakuwa hakuna sera mbadala, kaamua amshambulie mtu binafsi.

Kwani huyo Masanja alikuwa na haraka gani, si angesubiri mpaka mradi ukamilike kisha alete picha? Hayo si ndio mambo ya kumpelekea mzazi wako picha ya mrembo kusema ndio utamuoa, kisha ukioa mwingine useme shida iko wapi wakati ni mwanamke kama mwanamke aliyeko kwenye picha?

Huyo Masanja ana uhakika gani kama huo mradi utakamilika? Na unapata wapi uhakika kuwa bei itakuwa chini baada ya kukamilika? Huo umeme wa gas si tuliambiwa bomba la gas likifika Dar umeme utashuka bei, je umeshuka? Huo ni mradi wa mkopo, una uhakika gani na bei kuwa chini?
 
Nenda ka screen shot na Post yake hapo taarifa haijakamilika mtu akiona hivyo anaelewa nini sasa ?
Anadhani kila mtu anamfolo huyo masanja, mdau hajui kupangilia mada anakuja hapa kutupotezea mda
Hapa nikisema anamsingizia huyo masanja ntakuwa sijakosea kabisa, alafu ukute kwa bahati mbaya huyo masanja alishafuta makosa yake
 
Sometimes ni kazi kumwelewa binadamu yukoje rafiki.

Masanja amepost picha na maelezo kidogo ambapo, hatujui anaelezea itakavyokuwa au vipi. Tayari tumeshanyanyuka naye kumparua.
Kwanini asiweke picha za mradi halisi?
 
Masanja wengine waliwahi kusema uchungaji na mchele ni utakatishaji wa pesa za ngada..
 
Aombe radhi. Kabla ya kupigwa fine. Isije ikawa ni mpago wa DW. Maana kuna wakati nilimuona ana microphone yao. DW inakumbukwa kwa kuruhusu vibonzo vinavyotukashifu sisi watanzania. Masanja ajiangalie.
 
Kajaa makamasi huyu Msukuma, anadhani watz wote ni vilaza kama yeye..takataka wahed..
 
Nilidhani Lushoto... 😁😁😁
Hata hivyo caption ya Masanja ni Kama mfano /picha ya kitakachotokea.
Sio hali halisi kama zilivyo picha nyingine za majenzi ya mabwawa.
Kama Great Thinkers tunahitajika kungalia kwa makini jumbe zozote kabla ya kuchangia.
3D photos ufanana sana na uhalisia wa kitu,katika hili GT hapo ni Masanja Mkandamizaji. (angalieni hizo picha kwa makini!!!!!!!)
 
Ndio nani huyo Masanja eleza vizuri sio kila mtu mjuajeaje nasi tunamjua.
Masanja ni mchungaji comedian fulani hivi mjini pia ni mkulima wa mpunga mwanachama wa ccm mtata fulani hivi. Mhamiaji kutoka Ludewa kwenda Rujewa kabila Mpangwa mmoja hivi wengi wanafikiri ni mnyakyusa si kweli asili yao ni Ludewa Njombe. Jina halisi Emmanuel Mgaya.
Oh nimesahau kidogo sifa kuu ni mcccm fulani hivi pia anafanya matangazo ya barabarani kupitia DW
Natumai nimejibu vyema
 
Huyu dada ni mkurupukaji tu kama viongozi wengi tu upinzani. Anajidadavua kama mwenyekiti wa BAVICHA TEMEKE.

Hapo Masanja kadanganya nini na wapi?
Hajasema imefikia hivyo lakini ukiangalia ile michoro yao, hivyo ndivyo bwawa litakavyoonekana.

Ukimuuliza huo umeme ukikamilika atapinga kuutumia? Siasa nyingine za kishenzi shezi tu.

Si aeleze mipango yao mbadala ya kutuletea umeme utakaokuwa na bei nafuu zaidi ya huo wa Rufiji?
Ila kwakuwa hakuna sera mbadala, kaamua amshambulie mtu binafsi.

Acha kutetea ujinga basi
 
Back
Top Bottom