Tunaamuliana picha za kurusha? Ameweka picha kwenye page yake au yako?Ameweka picha ambazo sio za mradi kwanini asiweke picha za mradi halisi?
Tunaamuliana picha za kurusha? Ameweka picha kwenye page yake au yako?Ameweka picha ambazo sio za mradi kwanini asiweke picha za mradi halisi?
Masanja anajua haraka yake na sababu zilizomfanya aposti aliyoposti kwenye page yake. Hajamwambia mtu aiangalie au amfuatilie. Yaani ametumia uhuru wake wa kujiexpress kufanya ile kitu roho yake inapenda. Kwanini muumie wengine?Kwani huyo Masanja alikuwa na haraka gani, si angesubiri mpaka mradi ukamilike kisha alete picha? Hayo si ndio mambo ya kumpelekea mzazi wako picha ya mrembo kusema ndio utamuoa, kisha ukioa mwingine useme shida iko wapi wakati ni mwanamke kama mwanamke aliyeko kwenye picha?
Huyo Masanja ana uhakika gani kama huo mradi utakamilika? Na unapata wapi uhakika kuwa bei itakuwa chini baada ya kukamilika? Huo umeme wa gas si tuliambiwa bomba la gas likifika Dar umeme utashuka bei, je umeshuka? Huo ni mradi wa mkopo, una uhakika gani na bei kuwa chini?
Nimeipenda. Mchungaji wa ny@k@.
Masanja anajua haraka yake na sababu zilizomfanya aposti aliyoposti kwenye page yake. Hajamwambia mtu aiangalie au amfuatilie. Yaani ametumia uhuru wake wa kujiexpress kufanya ile kitu roho yake inapenda. Kwanini muumie wengine?
Ahsante nashukuru kwa taarifaMasanja ni mchungaji comedian fulani hivi mjini pia ni mkulima wa mpunga mwanachama wa ccm mtata fulani hivi. Mhamiaji kutoka Ludewa kwenda Rujewa kabila Mpangwa mmoja hivi wengi wanafikiri ni mnyakyusa si kweli asili yao ni Ludewa Njombe. Jina halisi Emmanuel Mgaya.
Oh nimesahau kidogo sifa kuu ni mcccm fulani hivi pia anafanya matangazo ya barabarani kupitia DW
Natumai nimejibu vyema
Kumwita Masanja mchungaji ni kumfurahisha shetani na kumkufuru Mungu!Jamaa ni boya sana. Mchungaji ni wa kupuuzwa tu
Masanja yule Jamaa ana Njaa sana,anaweza hata kutoa tako Mkono uende kinywaniKisa hiki hapa kachukua picha miradi mikubwa ya mabwawa ya umeme Ehiopia na Lesotho anadanganya kwenye posti zake kuwa ni mradi wa Stiegers Gorge Tanzania.
Ww ndio mkurupukaji, soma vizuri ueleweHuyu dada ni mkurupukaji tu kama viongozi wengi tu upinzani. Anajidadavua kama mwenyekiti wa BAVICHA TEMEKE.
Hapo Masanja kadanganya nini na wapi?
Hajasema imefikia hivyo lakini ukiangalia ile michoro yao, hivyo ndivyo bwawa litakavyoonekana.
Ukimuuliza huo umeme ukikamilika atapinga kuutumia? Siasa nyingine za kishenzi shezi tu.
Si aeleze mipango yao mbadala ya kutuletea umeme utakaokuwa na bei nafuu zaidi ya huo wa Rufiji?
Ila kwakuwa hakuna sera mbadala, kaamua amshambulie mtu binafsi.
Ndio nani huyo Masanja eleza vizuri sio kila mtu mjuajeaje nasi tunamjua.
Kapotosha nini na wapi? Hebu tuonyeshe.Hakuna anayeumia bali anaambiwa aache upotoshaji wa kipuuzi. Kama hakutaka watu waangalie, angeiweka kwenye hiyo single room yake anayoishi.
Alichopost ni comedy ya swali la uhalisia wa kitu, watu wakamdandia kana kwamba kilichopostiwa ni halisi 😂😂😂 kumbe ni picha ya yatarajiwayo.Sasa huyo si comedian jamani?.
Mkuu mbona mnaleta vitu vya Ethiopia?
Viongozi wote wa dini wanaotetea CCM ni wasaka fursa tu kwani wameshajua kuwa ukisifia sana lazima uonwe kimtindo.Mchungaji ana kuwa mwongo tena hadharani? Hawezi kuaminika tena kama Gwajima