Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away?

Kweli nimeamini. Awe mzungu muasia muafrika mchina mjapani nk kama ni mwanamke basi tabia zao zafanana. Mipasho mipasho mipasho. Je kashauriwa na wazee wa pwani au?!
Kutokana na hiyo move tusubiri wale njemba nawo watafanya nini. Wako vizuri. Bado wamejificha. Ila wataibuka muda si mrefu. Ngoma ndio inaanza kupigwa. Mbona wanatupa utamu kupunguza maumivu ya tozo na kodi!
 
Kweli nimeamini. Awe mzungu muasia muafrika mchina mjapani nk kama ni mwanamke basi tabia zao zafanana. Mipasho mipasho mipasho. Je kashauriwa na wazee wa pwani au?!
Kutokana na hiyo move tusubiri wale njemba nawo watafanya nini. Wako vizuri. Bado wamejificha. Ila wataibuka muda si mrefu. Ngoma ndio inaanza kupigwa. Mbona wanatupa utamu kupunguza maumivu ya tozo na kodi!
Baada ya zahma lile lililomshukia mwenzao ambae ndio angalau ana the so called mhimili hakuna nyau yoyote atakaethubutu kunyoosha japo kidole tu.

Mtaani sio poa wewe. Kina kigwa wanasubiri tu mtu awekwe pembeni wapate kurudi, unaona watu wanavyonafikiana huko
 
Maweee hajitak
Tizama mtu wetu alifanya kosa la kuomba msamaha technical error. Lakini kwa vile mtu wetu nae anao muhimili wake basi autumie vizuri awashawishi wabunge wapige kura ya no confidence na serikali, bunge livunjwe uchaguzi uitishwe atakaepata apate na atakaekosa akose. Huko CCM mwanachama yoyote aruhusiwe kugombea hiyo kofia ya mfalme
 
Nitafurahi sana Speaker akikaza mpaka mwisho. Tena ikibidi wakati wa bunge aendelee kuhoji uhalali wa tozo na mikopo mpaka kieleweke
 
😄😄😄😄😄😄

Hawa Wapinzani ndio maana sio tatizo kubwa kwa chama. Wao ni kijitatizo tu kidogo. Ikifika 2024 wakapewa "katiba mpya" basi kura zote watampigia Mama huku wakiamini 2030 mama atawaachia. Wanasahau haraka hawa.

Leo eti wamesahau na wanajifanya hawaijui nguvu ya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi.

Tuwaangalie tu hawa CDE wangu
😍
 
M
Wanabodi,
Hili ni bandiko la ma GT, hivyo hatutataji majina na naomba usitaje jina lolote!.

Hatua ya kwanza ni sikiliza kauli hii


Hivi hata baada ya kauli kama hii, kama wewe ni mtu mzima na akili zako timamu, bado unasubiri nini to do the right thing, the needful?.

Swali ni jee tumshauri mtu wetu, a do the needful, au akomae nao, till they do him away?.

Mimi nimemsikiliza Mama, kiukweli hajamtendea haki mtu wetu!, zile kauli kuhusu tozo, mikopo na deni la Taifa ni kauli za kizalendo na wala sio homa 2025, kwasababu kiukweli kabisa mtu wetu, hajawahi hata kuwazia 2025 kwasababu ndani ya CCM kuna a silent code ya kupokezana fulani kati ya Wakatoliki na wale jamaa zetu!.

Kwa vile alianza Mkatoliki, Juliasi akaja Jamaa zetu, Hasani, akaja Mkatoliki Benyamini Wiliamu, akaja jamaa zetu Mrisho, akafuta Yohane Yosefu, hivyo 2025 ilikuwa ni zamu ya wale jamaa zetu na Mungu ndio akawatangulizia, hivyo kusema kauli ile ya kizalendo ni homa ya 2025, huku ni kumsingizia bure tuu huyu mtu wetu!.

Kwa vile the boss is always right, ikitokea ume differ na boss wako, to the point ya bosi wako to question your intellect "mtu mzima mwenye akili timamu", the best way is to Quitt, the sooner, the better.

Namalizia kwa swali hili la msingi, baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama mtu wetu ni timamu, he shoud do the right thing, "the needful", jee tumshauri to do the right thing, "The Neeful?", before its too late, au akomae nao, mpaka kieleweje, if it is to do him away, akomae till they do him away?. The game is on again, it is not over yet until it's over.

I might end up being right again!

Paskali
Rejea


Mtu wako mwenyewe huyo mbukwenyi mbukwa apambane mwenyewe huko na uzuzu wake,alijua bunge la mama yake lile,mnyanyasaji akinyamyaswa hamna shida! hata hasiposhauriwa atautema tu mzigo mwenyewe cha msingi amepata somo muosha uoshwa!!
 
Wanabodi,
Hili ni bandiko la ma GT, hivyo hatutataji majina na naomba usitaje jina lolote!.

Hatua ya kwanza ni sikiliza kauli hii


Hivi hata baada ya kauli kama hii, kama wewe ni mtu mzima na akili zako timamu, bado unasubiri nini to do the right thing, the needful?.

Swali ni jee tumshauri mtu wetu, a do the needful, au akomae nao, till they do him away?.

Mimi nimemsikiliza Mama, kiukweli hajamtendea haki mtu wetu!, zile kauli kuhusu tozo, mikopo na deni la Taifa ni kauli za kizalendo na wala sio homa 2025, kwasababu kiukweli kabisa mtu wetu, hajawahi hata kuwazia 2025 kwasababu ndani ya CCM kuna a silent code ya kupokezana fulani kati ya Wakatoliki na wale jamaa zetu!.

Kwa vile alianza Mkatoliki, Juliasi akaja Jamaa zetu, Hasani, akaja Mkatoliki Benyamini Wiliamu, akaja jamaa zetu Mrisho, akafuta Yohane Yosefu, hivyo 2025 ilikuwa ni zamu ya wale jamaa zetu na Mungu ndio akawatangulizia, hivyo kusema kauli ile ya kizalendo ni homa ya 2025, huku ni kumsingizia bure tuu huyu mtu wetu!.

Kwa vile the boss is always right, ikitokea ume differ na boss wako, to the point ya bosi wako to question your intellect "mtu mzima mwenye akili timamu", the best way is to Quitt, the sooner, the better.

Namalizia kwa swali hili la msingi, baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama mtu wetu ni timamu, he shoud do the right thing, "the needful", jee tumshauri to do the right thing, "The Neeful?", before its too late, au akomae nao, mpaka kieleweje, if it is to do him away, akomae till they do him away?. The game is on again, it is not over yet until it's over.

I might end up being right again!

Paskali
Rejea


Nabii hakupendi kwa sababu hauko mrengo wake, sasa utawezaje kumuunga mkono kwa manufaa ya taifa lililogawanyika?
 
Mama inawezekana hana taarifa za kina kuwa hana support ya kutosha ndani ya CCM na atakuja kushtuka kina Ndugai wako wengi tu wakiwemo wanaojidai kumuunga mkono leo hii kumbe wanamlia timing tu.

Kuna wataomuunga mkono kutafuta uteuzi tu na sio kwamba wako loyal kwake.
Uko Sawa, ukiiangalia iyo video Kwa makini, hayo uliyoyasema yanajidhihirisha kabisa.
Makofi yalikua ni Kwa ajili ya TV tu.
 
Back
Top Bottom