Baada ya Malalamiko ya WanaJamiiForums, Rais Magufuli aandika kwa Usahihi kumpongeza Trump

Kupongezana ni vizuri. Lakini ina maana gani kupongeza katika kitu ambacho huamini? kwa mfano, kama huamini katika uchaguzi huru na wa haki, pamoja na misingi ya usawa na uhuru wa watu kutoa maoni yao, unapompongeza Rais aliyechaguliwa katika nchi inayoheshimu misingi hiyo unakuwa na maana gani hasa? Wamarekani wametangaza mshindi wa uchaguzi jana. Leo watu wamemwagika mtaani kuandamana kupinga matokeo. Tunajua wazi kwamba hiyo ingetokea Tanzania, leo tungekuwa na misiba kila mahali. Badala ya kujifunzi mambo mazuri ambayo yatalifanya taifa letu kujenga mifumo ya haki na uhuru wa watu kutoa mawazo yao, tunajenga, kusimamia na kushabikia ujinga na mifumo ya kikandamizaji nainayozuia uhuru wa watu kutoa maoni yao. Tutaondoka lini katika mawazo haya ya karne ya 14?
Haya ni kati ya mawazo bora kabisa katika mada hii ubarikiwe mkuu.
 
yaani mpaka leo Gerson Msigwa hajakanusha taarifa hii? basi rais wetu ni JEMBE! anatema ngeli ni balaa.
 
Acha kumdhalilisha rais kwa kusema anaongea lugha za mtaani. Rais kama rais na pindi anapoongea na taifa hapaswi kutumia lugha za mtaani. Na udhaifu huu upo sehemu nyingi sana kama bungeni nk ili mtu kuonyesha ni msomi. Lakini kiukweli watu hao na huyo unayemtetea hawana uwezo wa kuzungumza lugha hiyo ya kiingereza kwa ufasaha. Hili liko wazi na wala sio kudhalilishana kama unavyodhania.

Mwl aliyekufundisha kamwambie ulinifundisha kukariri na siyo kuelewa...
 
wewe hata kiswahili unatatizo nacho ktk muda wote wa kukaa shule neno luga uliliona wapi sahihi ni lugha mkuu,
Pia wakati unajiuliza jua english hapa nchini ni lugha rasmi kumbe usilete excuse zozote

Tatizo lako ni kuwa unadhani bado tunatakiwa kuandaa matarishi kama enzi za ukoloni ambapo waliandaliwa ku service communication kati ya masters and slaves...ninyi hamkawi kusema suti ndilo vazi la heshima kuliko migolole ya wamaasai
 
Mtu anayeamini kwamba kiingereza ni lugha ya watu wengine na si lazima kuielewa, wakati huo huo anaitumia kuwasailiana na watu wengine, Mimi nakuwa hata simwelewi...

Kama unaweza ku communicate na second person akakuelewa na wewe ukamwelewa mengine yote yanabaki bila mantiki...the only reason we use language is to communicate ndiyo maana hata bubu na viziwi wana luga yao ....wengine wanaweza ku communicate hata na other living organism which is called biology...other with non living things this is called chemistry and physics or putting them (three) together BIO-PHYSICAL SCIENCES; and it goes on like this...we miss the main concept of communication when we reduce it in arrangements and formats which is just a small portion of whole science of communication....
 
badala yake tuongee kichina sio eeeh!

Kiukweli kiswaenglish ndiyo luga ya watanzania walio wengi tupende au tusipende na kuna sababu za msingi...

1. Ni watanzania wachache sana wanaweza kujieleza kiingereza na kuandika katika level hiyo hiyo tena katika sehemu zote mbili kwenye taaluma ya ubobezi na kule mtaani au nyumbani. Sababu kubwa ikiwa brain imekuwa inconsistenily trained, kwenye elimu kiingereza na kiswahili kwa pamoja na nyumbani& mtaani either kiswahili au kiluga na kiswahili
2.Waalimu wengi wa luga siyo natives (kiswahili wala english) kwahiyo na pia wengine hawajapata proper language trainings...
3. Hatuna wakutusahuhisha makosa yetu eother mitaani au hata huko kwenye carrier na wengine ndiyo kabisa hasa walienda kusoma mataifa ambayo english wala kiswahili siyo luga ya nchi zaidi ya darasani hakuna kwingine ambapo wanapoweza kuisikia...

Hili siyo tatizo letu peke yetu ni la karibu dunia nzima lakino hawalichukulii kama ni ishu if at all you can communicate....

Tatizo letu kubwa tunalichukulia kama kiama vile only tu kwasababu tuliandaliwa hivyo...luga pekee ndiyo ilikuwa msisitizo wa elimu wakati wa ukoloni kwahiyo tunaona kuwa ndiyo elimu...hii ilofanyika ili tuwewatafsiri wazuri kwa masters and slaves...na hiyo scar imebaki hapo...kama ilivyo kwa wengi kudhani uzungu ndiyo usomi au akili...mtu hawezi aminiwa kwenye profession kama ilivyo kwa mzungu ndiyo maana hatuna confidance ya hata kujenga mashimo ya vyoo mpaka tuombe misaada kisha kwenye kukata utepe huku tumepanda kwenye VX wakati VX imenunuliwa kwa kodi huku choo kimechimbwa kwa msaada wa watu wa nchi fulani...
 
Kipimo cha kujua kuwa you have enough english in your blood ni kama tu unaota ndoto usingizini kienglish....lakini ebu checki je unaota ndoto za kufanya mitihani ya university unajibu kiswahili?

Achane umakini usiowalazima kwa vitu vidogo kama hivyo...ukishindwa kwa maneno eleza kwa vidole kama bubu...cha msingi ueleweke hilo ndilo la msingi....
 
Mitihani na elimu yetu yote inatumia energy kwenye language nakuacha ku train ku fanya critical thinking ndiyo maana hata humu 90% can correct grammar and semantics not content..even in understandings...hii ina implication kwenye innovation and invention ndiyo maana nchi zote zilizoendelea zimekataa kufundishia lugha ambayo siyo native watu wao ili waweze kupata wataalamu na siyo waandishi wa habari au communication officers
 
Mwl aliyekufundisha kamwambie ulinifundisha kukariri na siyo kuelewa...

Tanzania kuna elimu au ni kukariri tu, umeona wapi wasomi wote wanakimbilia kuajiriwa tu, na wakikosa ajira ndio mwanzo wa kuchanganyikiwa
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Back
Top Bottom