Taratibu za utumishi wa umma ni sawa haijalishi ni mwalimu, afisa kilimo au mkuu wa majeshi.Siwezi kuwawekea waalimu,hii salary unayoona ni ndogo jua iko juu Sana kuliko wafanyakazi wengi wa serikali kuu na kumbuka walimu wanasiku chache kazini jwa mwaka na wanawahi kutoka kazini tofauti na wafanyakazi wengine
Muda wa masaa ya kazi ni sawa hakuna anaekaa masaa mengi kazini na ukikaa masaa mengi kazini unatakiwa ulipwe kwa kila saa linalozidi.
Wako walimu pia wa shule za bweni hadi saa nne usiku wanasimamia watoto prepo.