Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,771
- 93,548
Upande wa afya atapiga pesa aachane na ualimu
Afya kuzuri snMimi ninachojua mdogo wangu alimaliza mwaka juzi kidato cha nne tulipotaka kumpeleka diploma ya ualimu alikosa vigezo hadi awe na cheti cha form six chenye E na S.
Ila cha ajabu chuo cha afya alipata diploma kwa D nne za form four tu.
Kumbe vigezo vya diploma ualimu ni vikubwa kuliko afya.
Mkuu mpo wengi lakini mnapelekwa kama nyumbuTutake radhi mkuu. Tulikufuta ujinga sie.
Mbona hakuna kilichoongezwa sasa?Mbona walimu wenye shahada wanaoajiriwa vyuoni huanza na scale ya mshahara ya daraja E, wakati huo huo mwl mwenye shahada akipelekwa shule za sekondari anaanzia scale ya mshahara ya daraja D na hakujawahi kuwa na mgogoro ingawa wanafanana kwa kila kitu kuanzia course walizosoma, maandalizi hadi kiwango cha elimu....??
Leo tu walimu wa sayansi kuongezewa kitu kidogo ndo iwe nongwa na chanzo cha mgogoro...?
Acheni nongwa...
Kuna mdau anaitwa Shafrael hapo juu ajira mpya anasema wameanza na D3Mbona hakuna kilichoongezwa sasa?
kwani bibi yako ndo anamiliki kiwanda cha cement?. kwamba nyumba unayo wewe tuKuna mpangaji wangu ni mwalimu wa sayansi ( Chem&Biol) sasa kuanzia mwezi huu chumba kitakuwa elfu 80 badala ya elfu 60.
Hataki ahame!
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Tanzania hii ya sasa hakuna asiyepelekwa hata maprofesa wamaufyata kimya, wafanyabiashara wanalia, wakulima wa korosho. Nitajie kada ambayo haipelekeshwiMkuu mpo wengi lakini mnapelekwa kama nyumbu
Sasa ilitakiwa tuamke, mfano walimu wote wakigoma wanajeshi watafundisha?Tanzania hii ya sasa hakuna asiyepelekwa hata maprofesa wamaufyata kimya, wafanyabiashara wanalia, wakulima wa korosho. Nitajie kada ambayo haipelekeshwi
Umewaza kusahihisha na kupanga matokeo au hizo unazodai anapumzika hafanyi hayo niliyoyaandika?Nadhani yeye anamaanisha likizo za muhula wa masomo.
mwezi wa 3---likizo wiki 2
mwezi wa 6---likizo mwezi 1
mwezi wa 9----likizo wiki 2
mwezi wa 12---likizo mwezi 1
pamoja na kwamba mwl anakuwa na likizo mara moja kwa mwaka ila hata hizo likizo za masomo anakuwa anapompumzika
Ngoja tusubiri February labda bado wanaweka mambo sawa mkuu.....Mbona hakuna kilichoongezwa sasa?
Kweli nimeprove madogo ajira mpya wameanza na D3.Ngoja tusubiri February labda bado wanaweka mambo sawa mkuu.....
Tuvute subira tuone kitachojiri February maana serikali hufanya mambo yake kwa utaratibu...Kweli nimeprove madogo ajira mpya wameanza na D3.
Ila wazoefu bado wanasota na D1
walimu wa sayansi au wote, hao ajira mpya?Kweli nimeprove madogo ajira mpya wameanza na D3.
Ila wazoefu bado wanasota na D1
Si kweli, Mwalimu wa sayansi na wa art wote wapo kwenye scale moja ya mshahara.Nijuavyo ni kwamba, kwenye taaluma zingine, waajiriwa wapya wanaanza ama na Daraja D au E, kwa mfano Mchumi Daraja D au Mtaalamu wa Kompyuta Daraja E. Hawa wote wanakuwa ni fresh graduate, tofauti ni kwamba D ni wale wa taaluma zinazotokana na masomo ya sanaa na social science wakati Grade E ni wale wa kisayansi.
Kwa upande wa ualimu, kuna TGTS D na TGTS E. Sasa huoni kuna utofauti hapo? Na usisahau, haya yalitokea baada ya kuonekana uhaba wa walimu wa sayansi sasa katika kuwa-encourage watu, ndo hapo wakabadilisha madaraja na walimu wanafunzi kuahidiwa mkopo 100%.
Viongozi wenu maboya! Scales za mishahara zilibadilishwa kitambo kwa watumishi WOTE!!! Na walifanya hivyo ili kuvutia wanafunzi kwenda kusomea ualimu wa sayansiSi kweli, Mwalimu wa sayansi na wa art wote wapo kwenye scale moja ya mshahara.