Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,882
- 2,374
Ndugu wana JF, baada ya jana Kamanda Mbowe kufungua Tawi la CDM pale Makumira university, habari nilizozipata sasa hivi ni kwamba Chuo cha uhasibu Arusha nao wako kwenye mazungumzo na uongozi wa CDM Mkoa juu ya uwezekano wa kufungua Tawi lao haraka iwezekanavyo.