toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,626
Kuna mambo yanaendelea kimya kimya sana na kuathiri jamii.
Baada ya mafuta kupanda ngano kupanda sasa ni nyanya zinafuata
Je, wajua sababu ni nini? Sababu ya kupanda kwa bidhaa za vyakula kutoka bidhaa hii kwenda ile ni kwa sababu ya jambo moja ambalo wengi hamjalifahamu.
Ni kwasababu kwasasa sisi kama nchi ni kama tumeipuuza sekta ya kilimo kumbuka enzi za sera ya kilimo kwanza halafu sasa tulisema ni viwanda.
Tumetilia mkazo kwenye viwanda lakini bado hatujafanikiwa kufikia hata asilimia 5% kati ya 100% ya kuwa na angalau viwanda vidogo.
Tume-invest kwenye mambo mengine tumeacha kilimo serikali yetu sasa haijakipa priority kilimo kabisa ingekua tumekipa priority kilimo amini nakwambia Tanzania ingekua ndo nchi inazalisha zaidi kwa sekta ya kilimo Africa na tungeexport mno nje na hapa bongo mfumuko wa bei ungebaki stori.
Mimi sikatai sera ya viwanda i agree 100% ila wakati tunaimba viwanda tungeimba na kilimo yaani vyote viende sambamba aminia nakwambia tungekua mbali.
Imagine tuna-invest kupeleka maji singida na dodoma kutoka ziwa Victoria au mabwawa makubwa tukajenga kwa kilimo tukaanzisha mkazo kwenye kilimo cha kufa na kupona huku tukitilia mkazo kwenye kutafuta masoko na viwanda hizi shida za kupanda bei kwa bidhaa na mfumoko zingebaki stori tu.
Baada ya mafuta kupanda ngano kupanda sasa ni nyanya zinafuata
Je, wajua sababu ni nini? Sababu ya kupanda kwa bidhaa za vyakula kutoka bidhaa hii kwenda ile ni kwa sababu ya jambo moja ambalo wengi hamjalifahamu.
Ni kwasababu kwasasa sisi kama nchi ni kama tumeipuuza sekta ya kilimo kumbuka enzi za sera ya kilimo kwanza halafu sasa tulisema ni viwanda.
Tumetilia mkazo kwenye viwanda lakini bado hatujafanikiwa kufikia hata asilimia 5% kati ya 100% ya kuwa na angalau viwanda vidogo.
Tume-invest kwenye mambo mengine tumeacha kilimo serikali yetu sasa haijakipa priority kilimo kabisa ingekua tumekipa priority kilimo amini nakwambia Tanzania ingekua ndo nchi inazalisha zaidi kwa sekta ya kilimo Africa na tungeexport mno nje na hapa bongo mfumuko wa bei ungebaki stori.
Mimi sikatai sera ya viwanda i agree 100% ila wakati tunaimba viwanda tungeimba na kilimo yaani vyote viende sambamba aminia nakwambia tungekua mbali.
Imagine tuna-invest kupeleka maji singida na dodoma kutoka ziwa Victoria au mabwawa makubwa tukajenga kwa kilimo tukaanzisha mkazo kwenye kilimo cha kufa na kupona huku tukitilia mkazo kwenye kutafuta masoko na viwanda hizi shida za kupanda bei kwa bidhaa na mfumoko zingebaki stori tu.