Pendo Lucas
Member
- Sep 10, 2018
- 27
- 11
Namshangaa sana mleta mada. Ajali huwa zina sababu zake za kweli. Kusema ni kwasababu ya laana ni uvivu wa kufikiri. Kabla ya serikali kukazia kuwa mabasi yasizidishe speed ya Km80/saa tumeshuhudia kupungua kwa ajali kwa kiwango cha kuridhisha. Zilikuwepo nadharia kwanini kuna ajali nyingi za mabasi ikiwemo nadharia ya watu kutolewa kafara. Ni wakati sasa pawepo sababu za kweli za chanzo cha ajali hizi kwa magari ya serikali (haiwezekani ikawa laana).
View attachment VID-20181024-WA0002.mp4