Baada ya madereva kugoma, sasa ni zamu ya waongoza watalii

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,888
143,985
Waongoza watalii nchini pamoja na wabeba mizigo ya watalii(wapagani) kupitia umoja wao,wametangaza kusudio la kugoma kuanzia Juni 30 mwaka huu endapo serikali haitabadilisha viwango vyao vya malipo.

Chanzo: ITV
 
Waongoza watalii nchini pamoja na wabeba mizigo ya watalii(wapagani) kupitia umoja wao,wametangaza kusudio la kugoma kuanzia Juni 30 mwaka huu endapo serikali haitabadilisha viwango vyao vya malipo.

Chanzo: ITV
Nawagome tu!Tumechoka!
 
Waongoza watalii nchini pamoja na wabeba mizigo ya watalii(wapagani) kupitia umoja wao,wametangaza kusudio la kugoma kuanzia Juni 30 mwaka huu endapo serikali haitabadilisha viwango vyao vya malipo.

Chanzo: ITV
=wapagazi. Wanatafuta maisha bora walioahidiwa
 
Viashiria hivi ni vibaya, na utalii ni jambo ambalo lina athari kubwa kwa nchi, sijui mwisho wake, lakini tunaelekea kubaya.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom