Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Waongoza watalii nchini pamoja na wabeba mizigo ya watalii(wapagani) kupitia umoja wao,wametangaza kusudio la kugoma kuanzia Juni 30 mwaka huu endapo serikali haitabadilisha viwango vyao vya malipo.
Chanzo: ITV
Chanzo: ITV