Magufuli inaonekana ndani ya miaka mitano kafanya ufisadi wa kutisha sana
Kuna siku ataagiza wamachinga warudishiwe elfu 20 zao.Na sisi tuliochanga rambirambi za wanabukoba tutarudishiwa?
Kumbe watu ni walaini kiasi hiki. Wakibanwa tu, lazima watoe maagizo ili kupunguza pressure.
Na bado ndio mkome.Magufuli inaonekana ndani ya miaka mitano kafanya ufisadi wa kutisha sana
FAKEPole sana John kwa mchakamchaka unaopigishwa na Lisu. Na bado.
View attachment 1583027