johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,765
Ukisikia kilio ujue jiwe limempata!
Hahaha hapo ana maanisha anaanzia Urusi mpaka South Africa, then Mashariki ya mbali hadi America.Hiyo pembe ya Dunia wanayotaka kuitembelea ndio nchi gani??
We jamaa sijawahii kujua msimamo wako ni upi nadhani ndiyo maana ulitimuliwa nchini.
We jamaa sijawahii kujua msimamo wako ni upi nadhani ndiyo maana ulitimuliwa nchini.
Wewe Chahali siyo mwanaume rijali,ni mwanaume Dhaifu Bora ya mwanamke, yaani huna msimamo kabisa kimaisha,ndo maana CCM walikudhulumu mil 15 kwa sababu ya unafiki wako.
Sawa mvuto wenu ni jeshi na TISS ,Hongereni sana,bila jeshi nyie hamna pa kwendawanajisumbua tu hawana mvuto tena kwa uma
Hajatimuliwa,huwa anakuja Tanzania kimya kimya,huyo ni mwana CCM mzuri sana,na kazi yake kubwa ni kuwachoma wapinzani,huyu jamaa ni nyoka Hatari sana,hafai kabisaWe jamaa sijawahii kujua msimamo wako ni upi nadhani ndiyo maana ulitimuliwa nchini.
Kwa hiyo ugaidi wake ulikuja baada ya kuanza kudai katiba?Mimi ninachoshindwa kuwaelewa hawa jamaa ni kuwa, kuthibitisha tuhuma za ugaidi au kutothibitisha kunahitaji uchunguzi wa hali ya juu... Wao wamewezaje kujua kuwa mbowe sio gaidi kwa haraka hivi? Wanasahau kuwa ukiacha siasa na yeye ana maisha yake
Huyo mshamba wa kiluguru amekushinda kumkabili?Ndo alichobakiza, kule Twitter kanipiga tofali kisa hapend nitoe hoja asiyoipenda
Huyu ni MPUUZI sana,neo maana alitimuliwa huko "EAGLE HOUSE "We jamaa sijawahii kujua msimamo wako ni upi nadhani ndiyo maana ulitimuliwa nchini.
Akili yake nayo ni ndogo piaChahali unahangaika na vitu vidogo sana, naona ndio unatafuta njia ya kujipendekeza kwa watawala ili ukirudi wasikukamate, endelea kuhangaika na Chadema labda ndio mlango wako wa kurudia Tanzania salama.
Wewe ni UMMA?wanajisumbua tu hawana mvuto tena kwa uma
Unajua hawa Chadema ni wahuni kwanini ufanye ziara duniani wakati unaweza kutumia mtandao za kijamii kufikisha ujumbe. Huu ni muendelezo wa kutaka kula bata kwa kutumia mgongo wa Mbowe
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂chadema ni wapumbavu sana, hua wanadhani kukaa mahabusu/jela ndio ushujaa...
Sent from my M2101K7AI using JamiiForums mobile app
Hawana mvuto serikalini, itisheni uchaguzi huru na wa haki muone mtakavyolia.wanajisumbua tu hawana mvuto tena kwa uma
Umeona sasa? Vitu vingine mjifunze kusubiri mwisho wake utakuaje! Kwani wamarekani wamewaambiaje mlivyoenda???Kwa hiyo ugaidi wake ulikuja baada ya kuanza kudai katiba?
Nyie mbwa washenz sana