Sasa wateja wangu sijui nitawasiliana nao vipi kwa picha za bidhaaDunia imesimamishwa kwasasa akili na masikio yapo kwa mark
New World Order ndio hii sasa, hadi tuchanje ndio anaturudishia mtandaoDunia imesimamishwa kwasasa akili na masikio yapo kwa mark
Nafanya biashara kubwa sana kupitia instagram, facebook na whatsapp…ni PIGO LA MAUMIVU HILI. Naweza kua mnyonge sana mpaka pale watakapofungua.Sioni umuhimu sana wa hio mitandao hasa ig na fb...borea what's up
Ok.tumetofautiana SI wengine waajiriwa so tunaitumiaga for funnyNafanya biashara kubwa sana kupitia instagram, facebook na whatsapp…ni PIGO LA MAUMIVU HILI. Naweza kua mnyonge sana mpaka pale watakapofungua.