Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Chama cha Mapinduzi(CCM), wilayani Ilala mkoani Dar es salaam, kimeamua kumuita Mkaguzi wa Ndani kuchunguza tuhuma za ufisadi wa sh. Milioni 60, zilizotolewa kwa ajili ya kampeni za uchaguzi mdogo Jimbo la Ukonga, uliofanyika Septemba 16, 2018.