Kwan vuzin alikua hana? Na ulijuaje alkua hana au una undugu na Aunt Said?Bado, zile ndevu zake ka za kofi olomide akitoka zitakuwa zimeenea mpaka vuzini
Kwan vuzin alikua hana? Na ulijuaje alkua hana au una undugu na Aunt Said?Bado, zile ndevu zake ka za kofi olomide akitoka zitakuwa zimeenea mpaka vuzini
mandela alikaa 27 years na alitoka sembuse mbowe? mnachekwa na dunia kwa siasa za kishamba mtu aliyechaguliwa na watu na kuwa mbunge anakosaje dhamana? kwakutojua kuwa nyie na huyo anaewatyuma ni wapumbavu mnakuja kusifiana ujingaujinga hapaMwaka huu kahesabiwa akiwa lupango
waliishi kwa mazoea!Alichezea sana simba sharubu sasa yamemkuta.
Dhamana alipata ila alikiuka masharti ya dhamana!mandela alikaa 27 years na alitoka sembuse mbowe? mnachekwa na dunia kwa siasa za kishamba mtu aliyechaguliwa na watu na kuwa mbunge anakosaje dhamana? kwakutojua kuwa nyie na huyo anaewatyuma ni wapumbavu mnakuja kusifiana ujingaujinga hapa
Mabuku7 wote Mbowe kakutieni mimba.Kila ilikuwa ikifika siku ya kwenda mahakamani tulikuwa tunaambiwa mbowe hakuhudhuria amepata udhuru wa kwenda hospital.
Na hiyo ilipelekea mpaka kutokomea ughaibuni kwenda kutafuta matibabu kisa kilichosababisha kufutiwa dhamana na mahakama.
Je, ugonjwa huo sasa umetoweka na kupona hasumbuliwi tena na maradhi maana hatusikii tena kama chairman anasumbuliwa na kile kilichomponza kufutiwa dhamana tunaambiwa ni wa buheri wa afya.
Au ni mbwembwe tu zilikuwa za kuichezea mahakama sasa imemnyoosha amepona?
Vipi majeraha uliyopata kutoka kwa wasiojulikana baada ya ile post yako ya kumkandia jiwe yamepona? Naona sasa huvai pampas tena. Rudia tena kama wewe mjanja.Kila ilikuwa ikifika siku ya kwenda mahakamani tulikuwa tunaambiwa mbowe hakuhudhuria amepata udhuru wa kwenda hospital.
Na hiyo ilipelekea mpaka kutokomea ughaibuni kwenda kutafuta matibabu kisa kilichosababisha kufutiwa dhamana na mahakama.
Je, ugonjwa huo sasa umetoweka na kupona hasumbuliwi tena na maradhi maana hatusikii tena kama chairman anasumbuliwa na kile kilichomponza kufutiwa dhamana tunaambiwa ni wa buheri wa afya.
Au ni mbwembwe tu zilikuwa za kuichezea mahakama sasa imemnyoosha amepona?
Mbowe ni mgonjwa au amepona!Vipi majeraha uliyopata kutoka kwa wasiojulikana baada ya ile post yako ya kumkandia jiwe yamepona? Naona sasa huvai pampas tena. Rudia tena kama wewe mjanja.
maana ya dhamana ninn? kwanini kunakuwa na mashart ya dhamana? nani anapaswa kudhaminiwa? je watuhumiwa wote wanaweza kutoroka? sitaki sana kujua namna ulivyoipata elimu yako kama uliiba mitihani au nn nitajidl siku ikifika. ila kabla ya kuandika mipasho uwe unajitafakar kidogo.Dhamana alipata ila alikiuka masharti ya dhamana!
we ni dactar?Mbowe ni mgonjwa au amepona!