bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,355
- 6,795
Haoooo wameanza, mbona wakati wa JPM mulikuwa kimya?Samia mfia dini utaona atajaza waislam wenzake tupu.
Haoooo wameanza, mbona wakati wa JPM mulikuwa kimya?Samia mfia dini utaona atajaza waislam wenzake tupu.
Kama Kassimu alikuwa snitch enzi za Magufuli kama imani yangu ilivo basi anabaki Vizuri tu ila kama hakuwa snitch basi ni ahiiiiii baghoosha!!!Ngoja tusubiri mkuu,natunza hii comment
Wachezaji wapyaNamuona Nape mzee wa goli la mkono kwa mbaaaali kwenye ofisi ya wizara flani hivi.
Laa hatari sana, yuko tamisemi tangu lini, pia utendaji kazi wake unaupimaje mkuu?Huyu mwamba Yuko vizuri,popote atakapowekwa Nampa tick...halafu Hakuna wizara ngumu Kama Tamisemi na anaitendea haki.
Makamba Yuko kwenye top three.Atuondolee huyo kiumbe anaitwa January Makamba
Kwa nini Mbarawa?Mbarawa out, Jafo out,
Wizara ya Tozo ua kabisa,Burundi kumejaa tunataka kurudi manseseUa nyani Mama,usitazame usoni, aheshimiwe anayejiheshimu tu, asiyejiheshimu tupa nje atakuharibia kazi.
Yeye mwenyeweHivi wanaowaza 2025 ukimtoa Makamba na Mwigulu kuna nani mwingine katika hao mawaziri?
Doto aanze kuagaWakuu heri ya mwaka mpya...
Kama tulivyo msikia Mama akisema kuwa hivi karibuni atafanya mabadiliko kwenye baraza lake la mawaziri
Je kwa mtazamo wako wakiutendaji kwa mawaziri hao
Je ni nani anafaa kubaki kwenye baraza ilo na ni nani anafaa kuondolewa kwenye baraza hilo
Aya twende kazi..
Chama Cha MadiktetaJamani mama kasema wanaowaza 2025 atawatema kwenye serikali yake. Ngoja tuone nani wanatemwa. Baadhi yetu tuna shaka anataka kuweka wale wahuni serikalini. Mungu apishilie mbali tusije tena kuona wapigaji watupu kwenye baraza la mawaziri.
Yafaa mama atulize akili na ajue vita ya ufisadi na wahujumu uchumi ndio moyo kufanikisha maendeleo yenye maslahi kwa umma. Vinginevyo atapigiwa makofi na wanafiki watu binafsi wenye malengo ya kufaidika kwa kusaliti maslahi ya umma wa wananchi.
Nguzo ya ccm ni kujali maslahi ya umma vinginevyo watatemwa kwenye sanduku la kura. Ccm haina hatimiliki kuongoza nchi hii ila wamekua wanachaguliwa kwa kujali maslahi ya umma.