Baada ya kuweka koma kwenye orodha ya kwanza ya Mawaziri, Rais Samia asema atatangaza orodha mpya karibuni

Mzuka wanajamvi!

Natuma salam zangu za dhati kabisa kwako amri jeshi mkuu na Rais wetu kipenzi.

Pole na majukumu mazito uliyonayo na changamoto za hapa na pale. Pia pole kwa zigo zito uliloachiwa kulibeba na awamu iliyopita. Pia pole kwa kero ndogo ndogo za kukera za kina ndugai na sampuli kama hizo.

Katika baraza lako jipya lijalo la mawaziri mkumbuke dada Irene Uwoya kwenye uwaziri hasa kwenye wizara ya Jinsia wanawake na watoto au pia wizara ya habari na michezo.

Airinii ataleta tija na mabadiliko makubwa Sana nchini iwapo atateuliwa.

Kwanini nasema hivi? Airinii ataipaisha nchi yetu kimataifa kwasabab ni public figure kupitia umarufu wake na goodlooks urembo. Pia ni ambitious na mchapa kazi.

Natanguliza shukran zangu za dhati kabisa!

Arovera
Pumbavu wewe hata kuandika hujui
 
Pumbavu wewe hata kuandika hujui
Tayari nimeshakuwin kisaikolojia na ndio hicho nilichotaka na kusumbuka kutafuta. I love this psychological torture game. Tackling folks psychologically inflicting so much massive pain without physical altacation leaving the victim in helpless condition the only way to retaliate is to hurl insults to ease his pain. While ylme on the other side punching the air continuously aggressively and violently with jubilation.

Melo thanks for this platform just pass by at any mangis shop and order anything I will passby to pay!
 
Mzuka wanajamvi!

Natuma salam zangu za dhati kabisa kwako amri jeshi mkuu na Rais wetu kipenzi.

Pole na majukumu mazito uliyonayo na changamoto za hapa na pale. Pia pole kwa zigo zito uliloachiwa kulibeba na awamu iliyopita. Pia pole kwa kero ndogo ndogo za kukera za kina ndugai na sampuli kama hizo.

Katika baraza lako jipya lijalo la mawaziri mkumbuke dada Irene Uwoya kwenye uwaziri hasa kwenye wizara ya Jinsia wanawake na watoto au pia wizara ya habari na michezo.

Airinii ataleta tija na mabadiliko makubwa Sana nchini iwapo atateuliwa.

Kwanini nasema hivi? Airinii ataipaisha nchi yetu kimataifa kwasabab ni public figure kupitia umarufu wake na goodlooks urembo. Pia ni ambitious na mchapa kazi.

Natanguliza shukran zangu za dhati kabisa!

Arovera
Unataka tuwe na mawaziri wadangaji?
Mine wako Dogo Janja tutamwitaje?
 
Hapa ndo kale kausemi ka akili ni nywele na kila mtu ana zake ndo kanapochukua nafasi.
 
Mmmh si ajabu akala shavu hivi hivi na maza akimcheq insta akiona ana wafuasi m3+ anampa chaap coz maza yeye anaangalia umaarufu tyu usije shangaa juma nature kapewa waziri wa elimu!
 
Mzuka wanajamvi!

Natuma salam zangu za dhati kabisa kwako amri jeshi mkuu na Rais wetu kipenzi.

Pole na majukumu mazito uliyonayo na changamoto za hapa na pale. Pia pole kwa zigo zito uliloachiwa kulibeba na awamu iliyopita. Pia pole kwa kero ndogo ndogo za kukera za kina ndugai na sampuli kama hizo.

Katika baraza lako jipya lijalo la mawaziri mkumbuke dada Irene Uwoya kwenye uwaziri hasa kwenye wizara ya Jinsia wanawake na watoto au pia wizara ya habari na michezo.

Airinii ataleta tija na mabadiliko makubwa Sana nchini iwapo atateuliwa.

Kwanini nasema hivi? Airinii ataipaisha nchi yetu kimataifa kwasabab ni public figure kupitia umarufu wake na goodlooks urembo. Pia ni ambitious na mchapa kazi.

Natanguliza shukran zangu za dhati kabisa!

Arovera
Nikawa najiuliza mbona unapenda san kuandik kuhusu uwoya. Kumbe ndio uwoya mwenyewe
 
Sasa ni wakati wa Dr. Kasheku kupewa uwaziri wa madini.

Sifa za Dr. Kasheku
Kwanza anauzoefu kwenye shughuli za madini.

Pili ana elimu

Tatu anazijua mbinu zote za utoroshwaji wa madini

Mimi kwangu hizi sifa tatu naona kabisa anatutosha sana.
 
Back
Top Bottom