Pumbavu wewe hata kuandika hujuiMzuka wanajamvi!
Natuma salam zangu za dhati kabisa kwako amri jeshi mkuu na Rais wetu kipenzi.
Pole na majukumu mazito uliyonayo na changamoto za hapa na pale. Pia pole kwa zigo zito uliloachiwa kulibeba na awamu iliyopita. Pia pole kwa kero ndogo ndogo za kukera za kina ndugai na sampuli kama hizo.
Katika baraza lako jipya lijalo la mawaziri mkumbuke dada Irene Uwoya kwenye uwaziri hasa kwenye wizara ya Jinsia wanawake na watoto au pia wizara ya habari na michezo.
Airinii ataleta tija na mabadiliko makubwa Sana nchini iwapo atateuliwa.
Kwanini nasema hivi? Airinii ataipaisha nchi yetu kimataifa kwasabab ni public figure kupitia umarufu wake na goodlooks urembo. Pia ni ambitious na mchapa kazi.
Natanguliza shukran zangu za dhati kabisa!
Arovera