escrow one
JF-Expert Member
- Nov 29, 2014
- 1,472
- 2,867
Wabunge Livingstone Lusinde "Kibajaji" na Joseph Kasheku " Msukuma" wamelithibitishia bunge na wananchi wa Tanzania kwamba wasomi wa nchi hii ndio wanaoongoza kwa kuchelewesha maendeleo nchini.
Kutokana na mkwamo huo sasa wamependekeza serikali ianze kuwatumia "WASOMI WA DARASA LA SABA" ambao wameanza kujipachika majina yenye Prof. na Dkt badala ya kuendelea kuwategemea Maprofesa na Madokta wenye madigrii ya darasani.
Miaka ya nyuma wapinzani ndio walikuwa watuhumiwa namba moja wa kuchelewesha maendeleo, sasa ni zamu ya Wasomi. Je, watafuata wakina nani?
Kutokana na mkwamo huo sasa wamependekeza serikali ianze kuwatumia "WASOMI WA DARASA LA SABA" ambao wameanza kujipachika majina yenye Prof. na Dkt badala ya kuendelea kuwategemea Maprofesa na Madokta wenye madigrii ya darasani.
Miaka ya nyuma wapinzani ndio walikuwa watuhumiwa namba moja wa kuchelewesha maendeleo, sasa ni zamu ya Wasomi. Je, watafuata wakina nani?