Akitembea anakuwaje mkuu? Tatizo hata kuandika sentensi kwa ufasaha hajui!
Masupa star wa bongoI’m clueless on who’s being talked about here
Wabongo kinafiki kupiga kelele kuhusu ya George Floyd na Ubaguzi Marekani.And she is very stupid not to realize that , yan easy going mpaka linatia hasira Yan , mtu mzuri lakini hana class , lipo lipo tu linabebwa hadi na wasukuma mikokoton Yan linaniudh mxieww
Mkuu ni dhambi sana kutembea na msukuma mkokoteni wakati kuna wengine wanasukuma klugger, x6 n. K au binamu warumi unasemaje?Wabongo kinafiki kupiga kelele kuhusu ya George Floyd na Ubaguzi Marekani.
Kumbe sie wenyewe ndo wabaguzi namba moja.
Kwamba sie wasukuma mikokoteni hatustahili kutembea na WATOTO wazuri eeh!!?
Haya bana. Kwa kweli ubaguzi hautaisha sio Marekani tu bali dunia nzima.
#SimbaMwendaPole ndo mla nyama.
Gentleman gani anapenda kismell
Baharia hawajali kismell wao sura na tako
Sent using Jamii Forums mobile app
Gentleman kvp wengine sio ma gentlemen hebu nenda moja kwa moja kwenye point unayoificha
Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app
Ndo maana sisi wengine huwa tunaazima hayo ma X6 [hata sijui ni kitu gani] 🤣🤣🤣🤣Mkuu ni dhambi sana kutembea na msukuma mkokoteni wakati kuna wengine wanasukuma klugger, x6 n. K au binamu warumi unasemaje?
Ndiyo tunategemeana unafikiri wanaomiliki rental cars watakula wapi?Ndo maana sisi wengine huwa tunaazima hayo ma X6 [hata sijui ni kitu gani]
Na anayesukuma X6, Klugger etc. naye ana type za wachuchu zake hachukui chukui mediocre tu. With Great Power comes Great Responsibility..... Wamikokoteni na wale wa X6 wote wanakula "mademu"Mkuu ni dhambi sana kutembea na msukuma mkokoteni wakati kuna wengine wanasukuma klugger, x6 n. K au binamu warumi unasemaje?
Gentleman ni Mwanaume amayevaa msuli na makobazi na kufuga kitambi na ndevu.
Nikiwa na wewe kwenye mkokoteni ukapata klugger ukaniacha nakuendea kukurogaNa anayesukuma X6, Klugger etc. naye ana type za wachuchu zake hachukui chukui mediocre tu. With Great Power comes Great Responsibility... Wamikokoteni na wale wa X6 wote tunakula "mademu".
Nikifikia kwenye Klugger kuna michuchu mediocre sichukui, baada ya kila miezi mitatu au minne nabadili mchuchu...
Sasa imagine ningekuwa kwenye X6 #polygamy #polygamous iwe juu juu zaidi!
Hii comment ya Hannah imewapa mtelezo mabaharia wote wasio na pesa.You dropped a major fact lady! Wanahisi wanaume wa maana ni wenye pesa tu kumbe ishu ni kupata mwanaume mwenye nidhamu hata kama hana pesa nyingi ila anayejali. Wanawake wenye akili na kujitambua ndio hugundua hilo.
Nijilipie mwenyewe tena, acha ubahili😂😂Kamata soda kwa mangi na ujilipie mwenyewe....niliuliza swali mwanaume wa maana ni yupi ndio nilikuwa nasubiri jibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo Chuchuu👌👌Bora kulia kwenye Range Rover shoga , upo nyonyo?
Mwenye pochi neneHvi mwanaume wa maana huwa hasa wa namna gan?!!...yaani ni ile kuwa na hela ?!!
Kwa kumtolea mfano Lulu unamaanisha mwanaume wa maana ni mwenye pesa kama majizo.
Maana mbali na pesa huyo majizo hana umaana wowote ni mhuni kama wahuni wengine tuu.
Basi Leo akidate na diamond utaona kapata mwanaume wa maana ila kaa ukijua sio kila mwanamke anaangalia mwanaume awe na pesa ndio ampende. Wengine ni moyo ulipopenda hapo hapo.
Namkubali sana Shishi na Fundi gereji wake.