Baada ya kuvisha pete ya uchumba, Chidy Design amkana Wolper

Wolper anapenda vibenten tu nadhan vinamshughulukia haswa sijui aisee young killer alivyo mdogo
Meja kunta
 
And she is very stupid not to realize that , yan easy going mpaka linatia hasira Yan , mtu mzuri lakini hana class , lipo lipo tu linabebwa hadi na wasukuma mikokoton Yan linaniudh mxieww
Wabongo kinafiki kupiga kelele kuhusu ya George Floyd na Ubaguzi Marekani.
Kumbe sie wenyewe ndo wabaguzi namba moja.
Kwamba sie wasukuma mikokoteni hatustahili kutembea na WATOTO wazuri eeh!!?
Haya bana. Kwa kweli ubaguzi hautaisha sio Marekani tu bali dunia nzima.
#SimbaMwendaPole ndo mla nyama.
 
Wabongo kinafiki kupiga kelele kuhusu ya George Floyd na Ubaguzi Marekani.
Kumbe sie wenyewe ndo wabaguzi namba moja.
Kwamba sie wasukuma mikokoteni hatustahili kutembea na WATOTO wazuri eeh!!?
Haya bana. Kwa kweli ubaguzi hautaisha sio Marekani tu bali dunia nzima.
#SimbaMwendaPole ndo mla nyama.
Mkuu ni dhambi sana kutembea na msukuma mkokoteni wakati kuna wengine wanasukuma klugger, x6 n. K au binamu warumi unasemaje?
 
Mkuu ni dhambi sana kutembea na msukuma mkokoteni wakati kuna wengine wanasukuma klugger, x6 n. K au binamu warumi unasemaje?
Na anayesukuma X6, Klugger etc. naye ana type za wachuchu zake hachukui chukui mediocre tu. With Great Power comes Great Responsibility..... Wamikokoteni na wale wa X6 wote wanakula "mademu"
Nikifikia kwenye Klugger kuna michuchu mediocre sichukui, na kila miezi kadhaa nabadili mchuchu...
Sasa imagine ningekuwa kwenye X6 #Polygamy #Polygamous
 
  • Thanks
Reactions: amu
Na anayesukuma X6, Klugger etc. naye ana type za wachuchu zake hachukui chukui mediocre tu. With Great Power comes Great Responsibility... Wamikokoteni na wale wa X6 wote tunakula "mademu".
Nikifikia kwenye Klugger kuna michuchu mediocre sichukui, baada ya kila miezi mitatu au minne nabadili mchuchu...
Sasa imagine ningekuwa kwenye X6 #polygamy #polygamous iwe juu juu zaidi!
Nikiwa na wewe kwenye mkokoteni ukapata klugger ukaniacha nakuendea kukuroga
 
You dropped a major fact lady! Wanahisi wanaume wa maana ni wenye pesa tu kumbe ishu ni kupata mwanaume mwenye nidhamu hata kama hana pesa nyingi ila anayejali. Wanawake wenye akili na kujitambua ndio hugundua hilo.
Hii comment ya Hannah imewapa mtelezo mabaharia wote wasio na pesa.

Faraja ni kitu cha msingi sana maishani
 
Shishi funga kazi.....alifanya maamuzi ya busara
Kwa kumtolea mfano Lulu unamaanisha mwanaume wa maana ni mwenye pesa kama majizo.
Maana mbali na pesa huyo majizo hana umaana wowote ni mhuni kama wahuni wengine tuu.
Basi Leo akidate na diamond utaona kapata mwanaume wa maana ila kaa ukijua sio kila mwanamke anaangalia mwanaume awe na pesa ndio ampende. Wengine ni moyo ulipopenda hapo hapo.

Namkubali sana Shishi na Fundi gereji wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom