Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,182
Gazeti la Habari leo linatufahamisha ya kuwa Mheshimiwa Waziri wa nchi Ofisi ya Raisi Bw. Wassira sasa haoni kuna mpasuko wa kidini ila kuna vijinyufa kwenye nyumba yetu na nyufa hizo haziwezi kuiangusha nyumba..............................
Lakini wahenga walinena..............asiyeziba ufa atajenga ukuta.............
Lakini wahenga walinena..............asiyeziba ufa atajenga ukuta.............